Posted on: May 4th, 2019
Halmashauri ya Wilaya ya Newala imefanikisha uendeshaji wa zoezi la ugawaji wa dawa za tiba na kinga dhidi ya magonjwa yasiyopewa kipaumbele siku ya Ijumaa tarehe 03/05/2017.
Zoezi hilo lilihusisha...
Posted on: May 2nd, 2019
Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani kwa Mkoa wa Mtwara yamefanyika siku ya Jumatano tarehe 01/05/2019 katika Wilaya ya Masasi mgeni rasmi akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa.
Kati...
Posted on: April 30th, 2019
Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Newala lililofanyika siku ya Jumatatu tarehe 29 Aprili 2019 limewapandisha vyeo, kuwathibitisha kazini na kuwabadilisha vyeo vya muundo watumishi 112.
...