Posted on: June 25th, 2019
Halmashauri ya Wilaya ya Newala leo Jumanne tarehe 25 Juni 2019 imefanya kilele cha maadhimisho ya wiki ya utumishi wa umma katika viwanja vya ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala.
...
Posted on: June 4th, 2019
Walimu wa shule za msingi katika Halmashauri ya Wilaya ya Newala leo Jumanne tarehe 04 Juni 2019 wametakiwa kutimiza wajibu wao ili kuwasaidia wanafunzi wanaowategemea kutimiza ndoto walizonazo.
Ha...
Posted on: May 11th, 2019
Mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa amefanya ziara ya kusikiliza kero, changamoto na maoni kutoka kwa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala siku ya Ijumaa tarehe 10/05/2019 kupitia mkutano ...