• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Elimu Sekondari

1. UTANGULIZI

RIdara ya Elimu ya Sekondari ni moja ya idara za Halmashauri ya Wilaya ya Newala.  Idara hii ilianzishwa mwaka 2009 baada ya Serikali kugatua usimamizi na uendeshaji wa shule za sekondari kutoka kwenye Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwenda na kusimamiwa na Mamlaka ya Serikali za Mitaa (Halmashauri za Wilaya/Miji/Manispaa/Majiji). Halmashauri ya wilaya ya Newala ina jumla ya shule 16 zikiwemo 15 za serikali na 1 ya binafsi inayomilikiwa na Mfuko wa Maendeleo wa Wananchi wa Newala. Shule ya Sekondari Mnyambe ya Wavulana yenye  kidato cha tano na sita ina Tahasusi za CBG, PCB, HKL na HGK. Shule 15 za serikali zina wanafunzi 5,132 wakiwemo wavulana 2,255 na wasichana 2,877 ambao wanasimamiwa na walimu 171 wakiwemo wanaume 141 na wanawake 30 ambao wanatekeleza majukumu mbali mbali, ambapo walimu 157 wanafundisha katika sekondari 15, walimu 10 ni Maafisa Elimu Kata na 4 wanasaidia utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya Halmashauri.

2. DIRA NA MWELEKEO

 2.1 DIRA, DHIMA NA MALENGO YA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA 2014

Msingi wa elimu na mafunzo utajikita katika kumjengea Mtanzania misingi bora ya malezi, maadili, ujuzi,umahiri na kumwezesha kujitegemea. Elimu ya kujitegemea itaendelea kuongoza utoaji wa elimu na mafunzo kwa kuzingatia mabadiliko yanayotokea katika jamii, kisiasa, kiuchumi, kisayansi na kiteknolojia.

2.1.1 DIRA 

Kuwa na Mtanzania aliyeelimika na mwenye maarifa, stadi, umahiri, uwezo na mitazamo chanya ili kuweza kuchangia katika kuleta maendeleo ya Taifa.

2.1.2 DHIMA

Kuinua ubora wa elimu na mafunzo na kuweka mifumo na taratibu zitakazowezesha kupata idadi kubwa ya Watanzania walioelimika na wanaopenda kujielimisha zaidi ili waweze kuchangia katika kufikia malengo ya maendeleo ya Taifa letu.

 2.2 LENGO LA JUMLA LA SERA YA ELIMU NA MAFUNZO

 Kuwa na Watanzania walioelimika na wenye maarifa na ujuzi kuweza kuchangia kwa haraka katika maendeleo ya Taifa na kuhimili ushindani

3. ELIMU YA SEKONDARI

 3.1 MATAMKO YA SERA KUHUSU ELIMU YA SEKONDARI

3.1.1 SERA YA ELIMU NA MAFUNZO YA MWAKA 1995

Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 1995 ilifafanua kuwe Elimu ya Sekondari ina maana ya Programu (Mpango) kamili wa elimu inayotolewa kulingana na Mitaala ya Serikali na kupatikana kwa wanafunzi ambao watakuwa wamemaliza elimu ya msingi. Nchini Tanzania elimu rasmi ya shule za Sekondari ina ngazi mbili. Ngazi ya kwanza ni elimu ya sekondari ambayo mwanafunzi husoma kwa muda wa miaka minne, ambapo ngazi ya pili ni Programu ya Miaka miwili ya elimu ya Sekondari (ngazi ya Juu). Ngazi ya kawaida huanzia kidato cha I na kuishia kidato cha 4, wakati Ngazi ya Juu ina kidato cha 5 mpaka cha 6. Hivyo Elimu ya Sekondari itaendelea kuwa ya miaka minne kwa ngazi ya Kawaida na miaka miwili kwa ngazi ya Juu.

3.1.2 MALENGO YA ELIMU YA SEKONDARI (Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 1995).

Elimu ya sekondari nchini inatolewa kwa wanafunzi wahitimu wa elimu ya msingi ambao huchaguliwa baada ya kufikia viwango vinavyotakiwa. Utoaji wa elimu ya sekondari una malengo yafuatayo;

Kuimarisha na kupanua upeo wa msingi wa fikra, maarifa, ujuzi na msingi uliopatikana na kuendelezwa kwenye ngazi ya elimu msingi.

Kuwezesha maendeleo zaidi na kutambua umoja wa Taifa, uraia, na kanuni, kukubalika kibinafsi, kuheshimu kazi na kuwa tayari kufanya kazi, haki za binadamu, maadili ya kiutamaduni na kiroho, mila, tabia na majukumu ya kiraia na masharti yake.

Kukuza maendeleo ya umahiri katika kumudu lugha na matumizi ya kufaa ya ujuzi wa mawasiliano katika Kiswahili na katika angalau lugha moja ya kigeni.

Kutoa fursa ya upatikanaji wa maarifa, ujuzi, mwelekeo na weledi katika maeneo ya kujifunza yanayotakiwa au yaliyochaguliwa.

Kuwaandaa wanafunzi kwa ajili ya elimu ya kati, ya juu, ya ufundi na ufundi stadi.

Kujenga tabia ya uwezo wa kujisomea, kujiamini na kujiendeleza kwenye maeneo mapya ya sayansi na teknolojia, taaluma, maarifa na stadi za kazi.

Kuwaandaa wanafunzi kujiunga na ulimwengu wa kazi.

TAMKO

3.1.2.1 Serikali itaweka utaratibu wa elimu ya awali kuwa ya lazima na kutolewa kwa watoto wenye umri kati ya miaka mitatu hadi mitano kwa kipindi kisichopungua mwaka mmoja.

3.1.2.2 Serikali itaweka utaratibu wa elimumsingi kuwa ya lazima kuanzia darasa la kwanza hadi kidato cha Nne; na kutolewa kwa miaka kumi na umri wa kuanza darasa la Kwanza kuwa kati ya miaka minne hadi sita kulingana na maendeleo na uwezo wa mtoto kumudu masomo katika ngazi husika.

3.1.2.3 Serikali itaweka utaratibu wa kuhakikisha muda wa kukamilisha elimu na mafunzo katika ngazi mbalimbali za elimu baada ya elimumsingi unalenga mwanafunzi kupata ujuzi stahiki kulingana na Mfumo wa Tuzo wa Taifa.

 3.1.2.4 Serikali itahakikisha kuwa elimumsingi katika mfumo wa umma inatolewa bila ada.

4. LENGO LA IDARA

 Kutoa nafasi ya upataji maarifa, ujuzi na kuelewa ili wanafunzi wajiunge na taasisi za ufundi na mafunzo ya kitaalamu ya elimu ya juu.

5. VITENGO VILIVYOPO KATIKA IDARA

Idara ya elimu ya sekondari ina jumla ya vitengo viwili (2) ambavyo hufanya shughuli zake kwa ushirikiano na kumsaidia mkuu wa idara ambaye ni msimamizi mkuu wa shughuli za idara katika kuleta matokeo tarajiwa. 

Vitengo vya idara ni pamoja na a)Kitengo cha Taaluma kinachosimamiwa na Afisa Elimu Taaluma Wilaya 

b)Kitengo cha Vifaa na Takwimu kinachosimamiwa na Afisa Elimu Vifaa na Takwimu Wilaya.

Toka kuanzishwa kwa idara ya Elimu Sekondari mwaka 2009, kumekuwa na viongozi mbalimbali toka kuanzishwa kwake hadi sasa kama ifuatavyo:





Na.JINA KAMILIJINSICHEOMWAKA KUANZAMWAKA KUMALIZA

1JULIUS K. NESTORYMEDSEO20092012

2OMARY R. KISUDAMEDSAO20092012

3CARITAS MUNYOGWAKEDSEO20122013

4MAGNUS MUNYUKUMESLO2012SASA

5ALICE MSEMWAKEDSEO20132015

6MUSA E. MUSOMAMEDSAO2013SASA

7MAJIDU KALUGENDOMEDSEO20162018

8ABDALAH I. MEMBEMEDSEO20182020

9FRIDAY SONDASYMEDSEO2020SASA


5.1 MAJUKUMU YA IDARA NA VITENGO

Majukumu ya idara ni pamoja na:-

• Kuiwakilisha Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia katika ngazi zote kuhusu masuala ya elimu ya sekondari.

• Kufafanua na kusimamia utekelezaji wa Sera za Elimu na Mafunzo kwa kufuata miongozo na taratibu, sheria na kanuni zinazoongoza utoaji wa elimu ya sekondari, katika shule za serikali na zisizo na serikali

• Kusimamia masuala yahusuyo maendeleo ya taaluma na michezo katika shule za sekondari wilayani.

• Kuwa mshauri wa masuala ya elimu sekondari katika Wilaya.

• Kusimamia upanuzi wa elimu ya sekondari.

• Kushughulikia masuala ya mitihani ya ndani na nje katika usimamizi na uratibu.

• Kuandaa na kusimamia utekelezaji wa mipango ya elimu ya sekondari


• Kusimamia na kuratibu masuala yanayohusu kuinua ubora wa mazingira ya kujifunzia na kufundishia.

• Kudhibiti na kusimamia nidhamu ya walimu na wanafunzi wa shule za sekondari katika Halmashauri.

• Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara kwa Shule na kufuatilia utekelezaji wa taarifa za ukaguzi wa shule za sekondari zilizokaguliwa na uthibiti ubora wa Shule.

• Kupanga walimu wa sekondari kulingana na mahitaji ya kila shule wilayani

• Kusimamia haki na maslahi ya walimu na wanafunzi wa sekondari.

• Kukusanya, kuchambua na kuunganisha takwimu mbalimbali zinazohusu elimu ya sekondari.

• Kufanya ufuatiliaji na Tathmini ya utekelezaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo


5.1.1 MAJUKUMU YA AFISA ELIMU TAALUMA (W)

Kuratibu na kusimamia mitihani ya Kitaifa inayoendeshwa kwa shule za sekondari katika Halmashauri.

Kubuni mipango ya mitihani ya elimu ya sekondari na kusimamia utekelezaji wake.

Kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa taarifa za ukaguzi wa shule.

Kushughulikia ujazaji wa OPRAS kwa walimu na watumishi wengine wa shule za sekondari.

Kuhakikisha walimu wa shule za sekondari wanapangwa katika shule kwa kuzingatia ikama inayokubalika.

Kubuni na kuratibu mipango ya mafunzokazini kwa walimu na watumishi wengine wa shule za sekondari.

Kusimamia maendeleo ya taaluma na michezo ya shule za sekondari katika Halmashauri.


5.1.2 MAJUKUMU YA AFISA ELIMU VIFAA NA TAKWIMU (W)

Kukusanya takwimu za shule na kuingiza kwenye mfumo.

Kutunza takwimu zote za shule katika Halmashauri.

Kuandaa taarifa za ujenzi wa shule.

Kuingiza bajeti ya idara na shule za sekondari kwenye mfumo wa PLANREP/

Kuwasilisha takwimu za shule katika ngazi ya Mkoa au OR – TAMISEMI zinapohitajika.

Kukusanya takwimu za elimumsingi bila malipo.


6. MUUNDO WA IDARA

Idara imeundwa na ngazi tano. Ngazi ya Wilaya kuna mkuu wa idara ambaye ni Afisa Elimu Sekondari Wilaya. Idarani kuna maafisa wa vitengo viwili ambavyo ni:- Afisa Elimu Taaluma (W) na Afisa Elimu Vifaa na Takwimu (W). Ngazi ya kata wapo Waratibu Elimu Kata wakifuatiwa na Wakuu wa shule pamoja na walimu na watumishi wao katika ngazi ya Shule.














































Shule za sekondari zinaendeshwa na Bodi za shule ambazo ni vyombo vya juu vya maamuzi katika shule. Bodi ya shule ni chombo cha kuendesha shule na ndio msemaji mkuu wa masuala ya uendeshaji wa shule. Ni chombo chenye nguvu ya kisheria.

Uongozi wa shule una muundo ufuatao:






























7. MIONGOZO NA SERA ZINAZOTUMIWA NA IDARA Katika kutekeleza shughuli zake, idara inatumia Sera na Miongozo mbalimbali inayotolewa na serikali katika kusimamia utoaji wa elimu. Sera na miongozo hiyo ni kama ifuatavyo:-

1. Sera za Elimu na Mafunzo ya mwaka 1995.

2. Sheria ya Elimu ya mwaka 1978 na marekebisho yake.

3. Miongozo mbalimbali ya elimu

4. Nyaraka mbalimbali za elimu

5. Maagizo mbalimbali ya Serikali


8. HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA IDARA MARA KWA MARA

Nia kuu ya idara ya elimu ya sekondari ni kutoa huduma kwa walimu, wanafunzi na wananchi kwa ujumla kuhusu masuala ya elimu ya sekondari, huduma hizo ni kama ifutavyo;-

• Kusimamia utoaji wa elimu ya sekondari shuleni(Kufuatilia Ufundishaji na ujifunzaji).

• Kutoa ushauri wa kitaalamu wa elimu ya sekondari katika ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji na maeneo mengine.

• Ufuatiliaji wa miradi ya ujenzi shuleni.

• Kuwahudumia wananchi, wazazi, walezi, walimu na wanafunzi katika masuala yahusuyo elimu ya sekondari.

9. TAARIFA ZA WATUMISHI

Halmashauri ya Wilaya ya Newala kupitia Idara ya Elimu Sekondari ina jumla ya walimu 171 wakiwemo wanaume 141 na wanawake 30 ambao wanatekeleza majukumu mbali mbali, ambapo walimu 157 wanafundisha katika sekondari 15, walimu 10 ni Maafisa Elimu Kata na 4 wanasaidia utekelezaji wa majukumu mbalimbali ya Halmashauri.

Idara ina watumishi watano (4) ambapo kati yao wasio walimu ni mmoja (1) ambaye ni katibu Mahsusi.






JEDWALI NAMBA 1. WATUMISHI WA IDARA YA ELIMU SEKONDARI NA NAMBA ZAO ZA SIMU

NAJINA KAMILIJINSICHEONAMBA ZA SIMU

1FRIDAY SONDASY MWAKASALAMEKAIMU AFISAELIMU SEKONDARI (W)0689533445

2MUSA ERNEST MUSOMAMEAFISAELIMU TAALUMA SEKONDARI (W)0688406880

3MAGNUS MUNYUKU MAGNUSMEAFISAELIMU VIFAA NA TAKWIMU (W)0713849250

4DYNESS PAUL CHILUMBAKEKATIBU MAHSUSI0787075986



JEDWALI NAMBA 2. MAAFISA ELIMU KATA NA NAMBA ZAO ZA SIMU

NA.JINA KAMILIJINSIKATANAMBA ZA SIMU

1ALLY S. NAYOMOMECHIWONGA0674458630

2SUITBERT K. NAMPWAPWAMEMTUNGURU0683079228

3RAPHAEL SIJAONAMEMKWEDU0713082753

4NICHOLAUS F. MILANZIMEKITANGARI0654294566

5JILE M. LUNDAMEMUUNGANO0715987554

6SHADHILI NAMBAILAMEMNYEU0683660061

7HAMISI LUTAVIMENAKAHAKO0658564639

8THOMAS M. ALEXANDERMEMKOMA II0754382651

9MARIA S. NDAHELEWEKEMDIMBA0717180668

10BULENGE MWASEBAMEMNYAMBE0712233826

11GOODLUCK H. KISHIMBOMEMTOPWA0712408286

12ORGENES J. MSHANAMEMIKUMBI0675903103

13SHARIFU S. NALINGAMEMAPUTI0715860900

14PASCHAEL N. MAGUBIKAMENANDWAHI0714986198

15PETRO D. LILUNGULUMECHILANGALA0788423111

16SAADA C. ADAMKEMCHEMO0673587801

17SAID A. JUMAMENAMBALI0715133940

18SALUMU M.MOHAMEDIMECHITEKETE0788231201

19SHABANI M. NANGUKAMECHIHANGU0716154450

20SOPHIA KINYONTOKEMPWAPWA0712537732

21SWALEHE M. HASHIMUMEMAKUKWE0784225954

22YONAS S. NG’ONYEMEMALATU0757622085

JEDWALI NAMBA 3. ORODHA YA  WAKUU WA SHULE  



NA.NAMBA YA USAJILI

JINA LA SHULE

KATA SHULE ILIPO

JINA LA MKUU WA SHULE

NAMBA YA SIMU

1S.5013CHIHANGUCHIHANGUHADIJA N. YAHAYA0625302433

2S.3732CHITEKETECHITEKETEJOSEPH K. LUGANO0717721429

3S.3763LENGOLENGOFREDY M. JOHN0784766915

4S.3781MAKUKWEMAKUKWECHRISTOPHER A. KAYOMBO0621934337

5S.3615MALATUMALATUWAKATI N. MTOTA0679204722

6S.1654MAPUTIMAPUTIHAMIDU A. LIKULU0657217479

7S.4005MIKUMBIMIKUMBIERICK S. AWIT0716219532

8S.4267MKOMAMKOMADANIEL E. LUKUWI0784977439

9S.3696MMULUNGACHIWONGASHAFII I. MNYALU0685834444

10S.0746MNYAMBEMNYAMBEISSA M. MKUTI0652838425

11S.4102MPELEPELEMDIMBAJUSTINE K. MAGESA0629041626

12S.3767MPOTOLAKITANGARILEONARD D. KULWA0786271718

13S.3607MTOPWAMTOPWAGABRIEL C. HAULE0656401193

14S.1807USHIRIKAMKWEDUERICK L. NANDONDE0713342619

15S.2920VIHOKOLINANDWAHILUFINGO T. MWAIJANDE0689851755

16S.0999KITANGARIKITANGARIMBARAKA 0714621285









Halmashauri ya Wilaya ya Newala ina jumla ya shule za sekondari 16 ambazo wanafunzi wake walifanya mitihani ya kumaliza Elimu ya sekondari kidato cha Pili na Nne kwa miaka ya 2013, 2014, 2015, 2016, 2017, 2018 na 2019. Halmashauri pia inayo shule ya sekondari ya kidato cha 5 na 6 ambayo wanafunzi wake walifanya mitihani ya Taifa kidato cha Sita kwa miaka ya  2018 na 2019.


Matokeo ya mitihani hiyo yanaoneshwa hapa chini;-


MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MNYAMBE SEKONDARI


MWAKAWALIOANDIKISHWA

WALIOFANYA

WALIOFAULU% YA UFAULU

WALIOFELI% YA WALIOELINAFASI KIMKOANAFASI KITAIFA

2018202020100--256

2019303030100--12377


HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA


MUHTASARI WA MATOKEO YA MITIHANI YA TAIFA (CSEE) KUANZIA MWAKA 2013 HADI 2019


NAMWAKA Uchambuzi wa Madaraja ya Ufaulu ya wanafunziUfaulu Drj.

 1-4%

WaliofanyaDaraja la IDaraja la IIDaraja la IIIJumla Daraja la I - IIIDaraja la IVWaliofeli

WVWSJMLWVWSJMLWVWSJMLWVWSJMLWVWSJML%WVWSJML%WVWSJML%

12013255226481101707204242843279982181381281402685644

22014308218526000102121278902280102191441112554878911693268

320152652755401015055075756763121441643085768981663169

42016309310619202121135212646613791317014631651731512243664

520172161643802021631936145054177119130108238633239711981

620183163716872022122353177076199514207296503733356891387

720194084618695274310538835123136471832125936762672135366892












HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA

MUHTASARI  WA MATOKEO YA MITIHANI YA TAIFA YA UPIMAJI (FTNA) KUANZIA MWAKA 2013 HADI 2019

NAMWAKA Uchambuzi wa Madaraja ya Ufaulu ya wanafunziUFAULU DAR 1- 4 %

WaliofanyaDaraja la IDaraja la IIDaraja la IIIJumla Daraja la I - IIIDaraja la IVWaliofeli

WVWSJMLWVWSJMLWVWSJMLWVWSJMLWVWSJML%WVWSJML%WVWSJML%

1201385179716480000000000000305412717445463859315644

220143563637190000000000000311327638894536811189

32015248230478808281442463480824813027147136283592144651486

4201640552292761715520576111878671451634740675381611161771981

520175436781221184223774473541271286519316312474786641031392422080

620184766331109306364824721071012081851313162825844470263365591892

7201952765311802342775281031401653052381974353725943469359163854595



  10.0 HALI YA MIUNDOMBINU MASHULENI


10.1  Hali ya Miundombinu


Na.Aina ya MiundombinuMahitajiIliyopoUpungufu% ya Upungufu

1Ofisi za walimu45331227

2Vyumba vya madarasa1461281812

3Nyumba za Walimu159619862

4 Vyoo vya walimu49301939

5Matundu ya Vyoo  (WAV)133874635

6Maabara45172862

7Matundu ya Vyoo (WAS)144916042

8Maktaba1500100

9Stoo157853



 10.1.2 Hali ya Samani:

Na.AinaMahitajiYaliyopoUpungufu% ya Upungufu

1Meza za wanafunzi5,2725,087185

4

2Viti vya wanafunzi52895,0272625

3Viti vya Walimu18017284.4

4Meza za Walimu18017284.4

5Kabati77304761








11.0 CHANGAMOTO KWA ELIMU YA SEKONDARI

•Upungufu wa walimu wa masomo ya sayansi na sanaa na watumishi wengine.

•Upungufu wa miundombinu muhimu.

•Wanafunzi wanaoshindwa mtihani wa kidato cha pili kukataa kukariri darasa na kuamua kuacha shule.

•Tatizo la utoro kwa wanafunzi kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne


10.1HATUA ZINAZOCHUKULIWA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO

•Halmashauri kuendelea kukamilisha maabara na miundombinu mingine kadri fedha zinapopatikana.

•Kufuatilia ufundishaji  na ujifunzaji shuleni ili kuinua ufaulu kwa wanafunzi

•Kuelimisha jamii kuhusu umuhimu wa elimu ili kuwahimiza watoto wao kuhudhuria masomo
























MAWASILIANO YA IDARA

Kwa mawasiliano , maswali na maelekezo idara inatumia njia zifuatazo;-

1.Sanduku la barua  - Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji (W)

                                     Idara ya Elimu Sekondari

                                     S.L.P  16

                                     NEWALA – MTWARA

3.Namba za simu: 0689 533445 (DSEO)


4.Fax; 0232410211


NB. Unaweza pia kuwasiliana na Maafisaa wa Idara kupitia namba zao katika simu za

       mkononi kama zilivyotolewa hapo juu.




Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa