Posted on: July 20th, 2024
NEWALA
Halmashauri ya Wilaya ya Newala imetambulisha rasmi mradi wa Ujenzi wa Shule Mpya ya sekondari ya Mtunguru wenye thamani ya shilingi milioni 560.5 ili kuondoa changamoto ya wanafunzi kusafir...
Posted on: July 15th, 2024
Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya ya Newala amewapongeza walimu na wanafunzi waliohitimu kidato cha 6 shule ya sekondari Mnyambe mwaka 2024 kwa matokeo mazuri ya mitihani yao....
Posted on: July 14th, 2024
UZINDUZI wa sherehe za Nanenane Ngongo Lindi utafanyika agosti 1,2024 eneo la Ngongo Lindi .
Wananchi wanahimizwa kujitokeza siku hiyo...