Posted on: April 25th, 2018
Wanafunzi wote wa shule za msingi na sekondari Wilayani Newala, wameaswa kutotumia mwanya wa kupata chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi, kuendeleza vitendo vya ngono, wakiamini kwamba tayari wanayo...
Posted on: April 26th, 2018
Kila tarehe 26 ya mwezi wa nne, Tanzania huazimisha siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa namna tofauti tofauti kwa kila eneo.
Kwa mwaka huu wa 2018, maadhimisho haya yamefanyika kitaifa M...
Posted on: April 29th, 2018
Baraza la madiwani la halmashauri ya Wilaya ya Newala, limewafukuza kazi watumishi 26 wa halmashauri ya Wilaya ya Newala baada ya kuthibitika na makosa mbalimbali ya kiutumishi.
Akithibitisha maamu...