• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Mafunzo elekezi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili yamefanyika Newala.

Posted on: April 30th, 2020

Kuelekea zoezi la uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura awamu ya pili linalotarajiwa kufanyika kwa siku tatu kuanzia tarehe 2 hadi 4 Mei 2020, Halmashauri ya Wilaya ya Newala leo imetoa mafunzo elekezi kwa wasimamizi wasaidizi 22 ngazi ya kata, waandishi wasaidizi na waendeshaji wa mashine za kujiandikisha (BVR Kits operators) 46.

Akifungua mafunzo hayo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala Bw. Mussa Chimae amewataka wasimamizi wa zoezi hilo kuchukua tahadhari ya maambukizi ya virusi vya Corona katika kipindi chote cha uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa kuhakikisha wananchi wote kunawa maji tiririka na sabuni kabla ya kupata huduma, kuzingatia umbali wa kukaa kati ya mtoa huduma na anayehudumiwa, kusafisha mashine kwa spirit na kuvaa barakoa katika muda wote wa zoezi hilo.

Katika zoezi hilo, wananchi watakuwa na nafasi ya kuhakiki majina yao na kuhuisha taarifa zao pale inapohitajika katika vituo 22 ambapo kila kata itakuwa na kituo kimoja.

Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kata wakila kiapo mbele ya Mhe.Hakimu wa mahakama ya mwanzo Kitangari Mussa Omari Nambunga.

Mafunzo hayo yamefanyika kwa siku moja leo tarehe 30 Aprili 2020 katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha walimu Kitangari yakiambatana na kiapo kwa wasimamizi wote wa zoezi hilo na mafunzo yameendeshwa na maafisa TEHAMA wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala wakishirikiana na wataalamu kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa