• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

DC NEWALA MHE.KUNDYA AKABIDHI VIFAA SAIDIZI KWA WATU WENYE ULEMAVU

Posted on: December 10th, 2024

NEWALA

Mkuu wa wilaya ya Newala Mhe.Rajabu Kundya amekabidhi vifaa saidizi kwa watu wenye ulemavu katika Halmashauri ya wilaya ikiwemo  viti vya magurudumu 7 magongo,baiskeli za mataili matatu 10 na fimbo nyeupe vyenye thamani ya shilingi Milioni 11.7 ikiwa ni Msaada kutoka Hospitali ya Rufaa Ndanda chini ya Ufadhili wa marafiki wa Ujerumani.


 Vifaa hivyo ambavyo vitatumika kutatua changamoto zinawakabili katika maisha ikiwemo kutembea,vimekabidhiwa Jana Desemba 10,2024 katika maadhimisho ya kimataifa ya watu wenye ulemavu yaliyofanyika katika viwanja vya Shule ya Msingi Kitangari Mazoezi yakiwa na kauli mbiu isemayo" kukuza uongozi wa watu wenye ulemavu kwa ajili ya mstakabali wa jumuishi na Endelevu"


  Akihutubia wananchi na wageni mbalimbali walioshiriki maadhimisho hayo Mkuu wa wilaya Mhe Kundya ameishukuru Taasisi ya Ndanda Hospital Pamoja na marafiki wa ujerumani kwa misaada yao mingi na mikubwa ambayo wanaitoa.


" Nichukue nafasi hii kuwaomba na kuwasihi wasituchoke,waendelee,kuwasaidia watu wetu maana ukiweka tabasamu kwa mtu mwenye mahitaji maalumu utakuwa umetenda jambo jema hata Mwenyezi Mungu hasiti kuweka tabasamu kwenye uso wako" Amesema Kundya


Aidha ametoa wito na kuwaomba watu wa Newala kuwa na moyo wa kupenda kuwasaidia watu wenye ulemavu ili waondokane na changamoto ndogondogo zinazowakabili katika maisha yao.


Kwa upande wao baadhi ya wanaufaika akiwemo  Salmini Saidi,mwanafunzi wa kidato tano mwenye ulemavu wa viungo na Zahana Abdala ambaye ni shangazi wa salafina bashiri mwenye ulemavu wa viungo wamefurahia na kushukuru msaada  uliotolewa na Halmashauri kwa ushirikiano na Hospitali ya Rufaa Ndanda na watu wa ujerumani.

Wamesema vifaa hivyo saidizi vitawasaidia kutembea kwa urahisi na kufanya shughuli  mbalimbali za kuendesha maisha yao.

Halmashauri ya Wilaya ya Newala ina watu wenye walemavu wapatao 821 kati ya hao watoto ni 235.

@ortamisemi

@dc_newala

@msemajimkuuwaserikali

@mtwarars_habari

@maendeleoyajamii

@kundya_mwangi

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa