• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

NEWALA DC YAKAMILISHA MRADI WA UJENZI WA KITUO CHA AFYA NANDWAHI

Posted on: February 18th, 2026

ZAIDI YA WATU 8,000 KUNUFAIKA NA KITUO KIPYA CHA AFYA NANDWAHI


Halmashauri ya Wilaya ya Newala imekamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya Nandwahi kwa kutumia shilingi milioni 250 zilizotolewa na Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kwa mujibu wa idadi ya watu katika Kata ya Nandwahi, mradi huo utanufaisha takribani wananchi zaidi ya 8,133 wanaotarajiwa kupata huduma bora za afya karibu na makazi yao.


Wananchi wa Kata ya Nandwahi wamefurahishwa na kukamilika kwa ujenzi huo, wakimshukuru Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuboresha huduma za afya vijijini na kusogeza huduma karibu na wananchi. Wamesema kituo hicho kitapunguza changamoto za umbali na gharama walizokuwa wakizipata kufuata matibabu katika maeneo ya mbali.

#KaziNaUtuTunasongaMbele

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YAKAMILISHA MRADI WA UJENZI WA KITUO CHA AFYA NANDWAHI

    February 18, 2026
  • DC KUNDYA AKABIDHI MSAADA KWA WANAFUNZI WENYE MAHITAJI MAALUM

    February 13, 2026
  • LANDSBERG UJERUMANI YAENDELEA KUCHANGIA MAENDELEO NEWALA DC

    February 13, 2026
  • BAJETI MPYA NEWALA DC

    February 12, 2026
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa