• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

Posted on: March 18th, 2025

NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI WAPONGEZA UONGOZI WA RAIS SAMIA.


Watumishi wa umma Halmashauri ya  wilayani Newala wamepongeza jitihada za serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwajengea jengo jipya la utawala lenye thamani ya shilingi BIlioni 2.75, hatua ambayo imerahisisha upatikanaji wa huduma kwa wananchi.


Kabla ya uwepo wa jengo hilo, ofisi za idara mbalimbali zilikuwa zilikuwa katika sehemu tofauti, hali iliyosababisha usumbufu kwa wananchi waliokuwa wakihitaji huduma tofauti.


Wakizungumza  kuhusu maendeleo  ya kipindi cha Miaka 4 ya uongozi wa Rais Samia, watumishi hao wa serikali wamesema kuwa ujenzi wa jengo hilo umewapa mazingira bora ya kazi na kuimarisha utoaji wa huduma.


 "Kwa kweli, tunaishukuru sana serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutujengea jengo hili la utawala. Zamani tulikuwa tunahangaika kutafuta huduma kwenye ofisi zilizotawanyika, lakini sasa ofisi zote zipo katika jengo moja. Hii imerahisisha sana utendaji kazi wetu na utoaji wa huduma kwa wananchi," walisema watumishi  Deoniz na Hadija.


Kwa upande wa Wananchi waliohojiwa nao wamefurahishwa na uwepo wa jengo hilo, wakisema kuwa limepunguza muda waliokuwa wakitumia kuhangaika kufuata huduma mbalimbali.


 Wamesema kuwa hatua hii inaonyesha namna serikali ya Rais Samia inavyothamini utawala bora na ustawi wa wananchi kwa kuweka mifumo bora ya utoaji wa huduma.

@ortamisemi

@mtwarars_habari

@msemajimkuuwaserikali

@maelezonews

@newalafmtz

@dc_newala

@kundya_mwangi

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa