• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Mkutano wa baraza la wafanyakazi wapitisha rasimu ya bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Newala kwa mwaka wa fedha 2021/2022

Posted on: January 20th, 2021

Mkutano wa baraza la wafanyakazi la Halmashauri ya Wilaya ya Newala leo tarehe 20/01/2021 umepitisha rasimu ya bajeti ya Halmashauri ya Wilaya ya Newala kwa mwaka wa fedha wa 2021/2022 yenye jumla ya Tsh. 21,196,607,600.00

Wajumbe wa baraza la wafanyakazi la Halmashauri ya Wilaya ya Newala wakiwa kwenye mkutano wa baraza hilo uliofanyika leo tarehe 20/01/2021 katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha walimu Kitangari.

Akiwasilisha rasimu hiyo, Kaimu Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala Bw. Benaya Sanane ameeleza kuwa katika mwaka wa fedha 2021/2022, Halmashauri ya Wilaya ya Newala inatarajiwa kukusanya na kutumia kiasi cha Tsh. 21,095,607,600.00 kutoka katika vyanzo mbalimbali vya mapato ikiwemo ruzuku kutoka Serikali kuu, wahisani wa maendeleo na mapato ya ndani ya Halmashauri.

"kiasi hicho cha fedha kitatumika katika kulipa mishahara ya watumishi, matumizi ya kawaida, na utekelezaji wa miradi ya maendeleo" alieleza Bw. Sanane.

Wajumbe wa baraza hilo la wafanyakazi walipata nafasi ya kujadili rasimu hiyo ya bajeti na hatimaye kuridhia kuipitisha.

Mijadala hiyo ilisisitiza kuzingatia maslahi ya watumishi kwa kuyalipa kwa wakati ili kuepuka kulimbikiza madeni ambayo yanasababisha Halmashauri kushindwa kuyalipa kwa pamoja.

Mkutano huo baraza la wafanyakazi la Halmashauri ya Wilaya ya Newala umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha walimu Kitangari na umehudhuriwa na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala Bw. Duncan Thebas,  wakuu wa idara na vitengo, watumishi mmoja mmoja wawakilishi wa kila idara na vitengo vya Halmashauri, wajumbe wa vyama vya wafanyakazi wa Mkoa wa Mtwara  na wawakilishi wa vyama vya wafanyakazi vilivyopo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Newala.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa