• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

MHE. WAZIRI MKUU ATAKA WAKURUGENZI KUIGA MFANO WA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA MUSSA CHIMAE.

Posted on: February 28th, 2018

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala Bw. Mussa Chimae kwa kuwajali na kuwawekea mazingira mazuri ya kufanyia kazi walimu wote wanaoripoti kufanya kazi katika shule zilizopo kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Newala.

Mhe. Majaliwa aliyazungumza hayo siku ya Jumanne tarehe 27/02/2018 alipofanya ziara yake ya kawaida ya kikazi katika Wilaya ya Newala na kutembelea kuona maendeleo ya ujenzi wa chuo cha ualimu Kitangari.

Akizungumza na wananchi wa Kitangari, walimu, wanafunzi na watumishi wa Halmashauri, Mhe. Majaliwa alimpongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala kwa mazingira mazuri anayowawekea walimu kwa kuwawezesha vyakula, malazi, fedha za kujikimu na usafiri wa kufika kwenye vituo vyao vya kazi pindi wanaporipoti kufanya kazi kwenye shule zilizopo Halmashauri ya Wilaya ya Newala.

Mhe. Majaliwa alisema kwa kutoa huduma hizo kunamfanya mwalimu husika ajisikie vizuri na aanze kufanya kazi kwa ari kwa kuwa ana uhakika wa kuanza maisha vizuri. Hivyo Mhe Majaliwa aliwataka Wakurugenzi wote kuiga mfano huo kwa kuwa utasaidia kuwafanya walimu wafanye kazi kwa ari na kukubali mazingira yoyote.

Ziara hiyo ilikuwa ya siku moja na ilihusisha kuongea na watumishi na kuwakumbusha wajibu wao kwa jamii, kutembele na kukagua ujenzi unaoendelea wa chuo cha ualimu Kitangari na kuongea na wananchi wa Newala katika uwanja wa sabasaba.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa