• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Halmashauri ya Wilaya ya Newala yapongezwa kwa kufanya vizuri ujenzi wa miundombinu ya kituo cha afya cha Kitangali

Posted on: December 12th, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Newala yapongezwa kwa kufanya vizuri ujenzi wa miundombinu ya kituo cha afya cha Kitangali.

Pongezi hizo zimetolewa leo tarehe 12/12/2019 na Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Alphayo Kidata alipofanya ziara ya kutembelea kituo hicho cha afya na kukagua hali ya ujenzi wa miundombinu yake.

Mwanakamati wa kamati ya ujenzi wa kituo cha afya cha Kitangali akisoma taarifa ya mradi kwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Alphayo Kidata alipotembelea kituoni hapo.

Ziara hiyo ilianza kwa Bw. Kidata kupokea taarifa ya mradi wa upanuzi wa kituo hicho cha afya kutoka kwa Bw.Siwatu ambaye ni mwanakamati wa ujenzi wa mradi huo ambapo aliambiwa kuwa makisio ya mradi huo ni Tsh. 432,664,011.00 ambapo Tsh. 400,000,000.00 zimetolewa na Serikali kuu, Tsh.  30,064,011.00 zinatoka Halmashauri na Tsh. 2,600,000.00 ni mchango wa wananchi.

"Ni mara ya kwanza nimetembelea vituo vya afya nikasomewa taarifa na mmoja wa wanakamati wa mradi....na hii inaonyesha nyinyi hapa ni timu moja kuliko tulipotoka, hongereni sana." Alisema Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Kidata.

Upanuzi wa kituo cha afya cha Kitangali umehusisha ujenzi wa majengo saba, ambayo ni jengo la upasuaji, wodi ya mama na mtoto, nyumba moja ya mtumishi, chumba cha kufulia nguo, jengo la maabara, chumba cha kuhifadhia maiti na kichomea taka.

Bw. Alphayo Kidata na wajumbe wa Sekretariet ya Mkoa wa Mtwara wakikagua wodi ya wakina mama katika kituo cha afya cha Kitangali

Kukamilika kwa mradi huo kunanufaisha wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala kwa kuwaletea karibu huduma mbalimbali ikiwemo upasuaji mkubwa na kuwaepusha wagonjwa kutembea umbali wa zaidi ya kilomita 40 kwenda hospitali za Mji Newala, Ndanda na Nyangao kupata huduma hizo.

Ziara hiyo ya Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara Bw. Kidata kwa Halmashauri ya Wilaya ya Newala ni ya kwanza tangu ateuliwe kushika nafasi hiyo na ilijumuisha wataalamu wa sekta za afya na miundombinu kutoka Sekretariet ya Mkoa wa Mtwara.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa