• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

MFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA YAFUNGWA JIMBO LA MEWALA VIJIJINI

Posted on: January 26th, 2025

WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NA WAENDESHAJI WA VIFAA VYA BVR ngazi ya kata,Jimbo la Newala Vijinini wametakiwa kuzingatia maelekezo,kanuni na miongozo ya Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi Pamoja na kutumia elimu na ujuzi waliopata katika kutekeleza kwa nadharia na vitendo zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura ambalo litaanza  Januari 28, 2025 na kumalizika Februari 3,2025


Hayo yamesemwa Jana na Afisa Mwandikishaji Msaidizi Jimbo la Newala Vijini  Ndugu Mohamedi Muhidini wakaki akifunga mafunzo ya siku mbili kwa waandikishaji wasaidizi na waendeshaji wa vifaa vya BVR yaliyofanyika kuanzia 25-26 Januari katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu kitangari .


" Napenda mutumie muda wenu wa ziada kusoma na kupitia maelekezo yote mliyopewa ili kuongeza uelewa zaidi kuhusu wajibu na majukumu yenu katika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura kwa usahihi na ufanisi mkubwa"


Aidha Muhidini amewasitiza kuzingatia kwa umakini utunzaji wa vifaa vya uandikishaji kwa kuwa vifaa hivyo vimenunuliwa kwa gharama kubwa na vinatarajiwa kutumika katika maeneo mengine ya uandikishaji nchini.


Katika Jimbo la Newala Vijijini jumla ya waandikishaji wasaidizi na waendeshaji wa vifaa vya BVR 390 wameajiriwa kwa ajili ya kufanya kazi ya uandikishaji wa wapiga kura katika vituo 151 vilivyotengwa kufanyika zoezi la uboreshaji wa Daftari la kudumu la wapiga kura.

@ortamisemi

@msemajimkuuwaserikali

@mtwarars_habari

@tumeyauchaguzi_tanzania

@dc_newala

@newalafmtz

@samia_suluhu_hassan

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa