• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Mafunzo ya DHFF na CHF iliyoboreshwa yaanza rasmi kwa ngazi ya Halmashauri.

Posted on: May 7th, 2018

Mafunzo yanayohusu DHFF, CHF iliyoboreshwa pamoja na mfumo wa JAZIA (PVS) kwa ngazi ya Halmashauri, yanayolenga kuwajengea uwezo watendaji wa kamati za afya, ili kuimarisha uelewa wa pamoja unaolenga kupeleka maelekezo sahihi katika vituo vya kutolea huduma za afya na jamii kwa ujumla, yamefunguliwa rasmi.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo ya siku tatu yaliyoanza tarehe 7/5/2018 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala Bw. Mussa Chimae, amesema lengo mahususi la mafunzo hayo ni kuelewa kwa upana maana ya ugatuaji wa mipango ya afya na bajeti kwa utaratibu wa kupeleka fedha moja kwa moja kwenye vituo vya kutolea huduma (DHFF), yenye matarajio ya kupunguza urasimu na kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa kuimarisha uwajibikaji na uboreshaji wa uandaaji wa mipango, bajeti na matumizi yanayolenga kuboresha huduma za afya.

Bw. Chimae ameongeza kuwa, dhana kubwa ya serikali ni kuwashirikisha wananchi ili kujua changamoto zinazowakabili, ikiwa ni pamoja na kuhakikisha huduma za afya hususani upatikanaji wa dawa, ziwe zinapatikana kwa wakati, na sio kuzorotesha huduma, kwani lengo ni upatikanaji wa dawa na huduma nyingine za afya uwe wa asilimia 100% na sio asilimia 96% tena.

Serikali ya awamu ya Tano, imedhamiria kuboresha huduma za afya kwa wananchi wake kwa kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora za afya kwa watu wote na kwa gharama nafuu, ikiwa ni pamoja na kubuni na kutekeleza mikakati mbalimbali ya kuboresha huduma za afya kwa kukarabati vituo vya afya, kuboresha takwimu za afya na kuongeza ufanisi wa uandaaji wa mipango, bajeti na kuongeza mapato hususani katika ngazi ya mamlaka za Serikali za mitaa, ikiwemo halmashauri ya Wilaya ya Newala.

Washiriki wa mafunzo yahusuyo DHFF na CHF iliyoboreshwa wakiwa katika siku ya kwanza ya mafunzo kwa ngazi ya Halmashauri yaliyofanyika jumatatu ya tarehe7/5/2018 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa