• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

KOROSHO NA UCHUMI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA

Posted on: November 2nd, 2017

Korosho ni zao kuu la biashara kwa wananchi wa Mkoa wa Mtwara ikiwemo Wilaya ya Newala. Zao hili ni moja ya mazao yanayoiingizia Halmashauri ya Wilaya ya Newala mapato na kuiwezesha kuendesha shughuli zake za kuleta maendeleo kwa wananchi wa Newala. Akizungumza na wananchi kupitia mkutano wa baraza la madiwani, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala Bw. Mussa Chimae, alieleza kuwa kwa msimu huu wa korosho pembejeo zilizotengwa kwa ajili ya wakulima ni tani 1013.647 za salfa ya unga na dawa za maji lita 18584. Hata hivyo hadi kufikia tarehe 29/09/2017 jumla ya tani 920.817 za salfa ya unga na lita 18541 za dawa ya maji zimeweza kupokelewa na kusambazwa kwa wakulima. Na pembejeo ambazo hazijapokelewa hadi sasa ni tani 92.83 za salfa ya unga na lita 43 za dawa ya maji.

Pia alieleza kuwa mavuno na mauzo ya korosho kwa wakulima yameshaanza na hadi kufikia tarehe 30/10/2017 jumla ya kilo 2,103,940 zimeuzwa kupitia minada miwili ambapo mnada wa kwanza jumla ya kilo 403,247 zimeuzwa na Halmashauri kukusanya jumla ya Tsh. 17,541,244.50.

Hata hivyo Bw. Chimae ameeleza changamoto mbalimbali zilizojitokeza kwa wakati huu zikiwemo ucheleweshaji wa pembejeo kutoka bodi ya korosho, kwani pembejeo kwa msimu huu zilianza kuletwa mwezi wa saba na zilizoletwa ni chache ukilinganisha na mahitaji halisi ambayo ni tani 1125 za salfa ya unga na lita 1o1250 za dawa za maji.

Pia Bw. Chimae amewataka wakulima kufungua akaunti benki kwa kuwa malipo ya kipindi hiki yanapitia benki na mkulima hapewi pesa mkononi.

Msimu wa ununuzi wa korosho ghafi za wakulima nchini Tanzania kwa mwaka 2017/2018 ulifunguliwa rasmivkitaifa tarehe 01/10/2017.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa