• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Kampeni ya utoaji wa chanjo ya surua rubella na polio yafunguliwa rasmi Newala

Posted on: October 17th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Newala Mhe. Aziza Mangosongo, leo tarehe 17/10/2019 amefungua rasmi kampeni ya kitaifa ya kutoa chanjo ya Surua Rubella na Polio kwa Halmashauri ya Wilaya ya Newala.

Uzinduzi huo umefanyika katika kituo cha afya cha Kitangari ambapo wazazi wamehimizwa kuzingatia maelekezo na kuwapeleka watotokupata chanjo pale wanapohitajika.

Lengo la kampeni hii ni kuzuia na kupambana na magonjwa yanayozuilika kwa watoto wenye umri kati ya miezi 9 hadi miaka 4 namiezi 11.

Aidha chanjo hii inaongeza kinga kwa watoto hivyo wanatakiwa kupelekwa kwenye maeneo ambayo zinatolewa ili wazipate tena hata kama wameshapata chanjo hizo katika utaratibu wa kawaida wa kutoa huduma za chanjo.

Kampeni hii itafanyika kwa siku 5 kuanzia tarehe 17 hadi 21/10/2019 na jumla ya watoto 14,308 wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya Surua Rubella na watoto 9,196 wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya Polio ya sindano kwa Halmashauri ya Wilaya ya Newala.

Matangazo

  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA KAZI YA SENSA 2022 July 19, 2022
  • MAELEKEZO KWA WATUMISHI WA AJIRA MPYA ZA WALIMU NA KADA YA AFYA. July 03, 2021
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • UFUNGUZI WA MAFUNZO YA ULINZI NA USALAMA KWA MWANAMKE NA MTOTO

    December 20, 2021
  • MAFUNZO YA UDHIBITI WA SUMUKUVU KWA MAZAO KILIMO

    December 13, 2021
  • Mwenyekiti wa Halmashauri ya Newala Mh.Mfaume Tamimu Ladda akikabidhi pikipiki 9 kwa Idara ya Kilimo

    March 11, 2022
  • MILIONI 17.8 ZA MFUKO WA ELIMU ZATUMIKA KWA AJILI YA MOTISHA KWA WALIMU WALIOFANYA VIZURI KATIKA MASOMO YAO YA MADARASA YA MITIHANI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA NEWALA

    February 19, 2022
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa