• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Wilaya ya Newala yasherehekea siku ya Muungano kwa kufanya usafi

Posted on: April 26th, 2018

Kila tarehe 26 ya mwezi wa nne, Tanzania huazimisha siku ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa namna tofauti tofauti kwa kila eneo.

Kwa mwaka huu wa 2018, maadhimisho haya yamefanyika kitaifa Mkoani Dodoma, huku kila mkoa na Wilaya nazo zikiazimisha siku hiyo kwa namna tofauti tofauti kama ilivyo ada.

Kwa upande wa Wilaya ya Newala, Wananchi wamesherehekea maadhimisho ya siku ya Muungano kwa kufanya usafi katika maeneo mbalimbali ya mjini na vijijini.

Halmashauri ya Wilaya ya Newala inayoongozwa na Mkurugenzi wake Bw. Mussa Chimae,wameshirikiana na wananchi wa tarafa ya Kitangari kufanya usafi katika eneo la upanuzi wa miundombinu ya kituo cha afya Kitangari siku ya alhamisi tarehe 26/04/2018, zoezi hilo lilianza mnamo saa 12 likiongozwa na Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Newala hadi majira ya saa nne za asubuhi ambapo maeneo yote katika kituo hicho cha afya yaliweza kufanyiwa usafi ikiwa ni pamoja na kushirikiana kusaidi kupanga vizuri matofari ili ujenzi uendelee katika eneo hilo.

Zoezi hilo la kufanya usafi kituo cha afya Kitangari limefanyika ipasavyo siku ya maadhimisho ya Muungano ikiwa ni moja kati ya njia za ushirikishaji wananchi kujitolea kushiriki katika shughuli za maendeleo ya kata, kijiji na Wilaya kwa ujumla.

Tanganyika na Zanzibar ziliungana mwaka 1964 na kuunda serikali moja ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  chini ya waasisi wetu hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere (Baba wa Taifa) na hayati Sheikh Abeid Amani Karume wa Zanzibar, hivyo mpaka leo watanzania wote tunaendelea kuuenzi muungano huu kwa amani na upendo.

Na mwaka huu wa 2018,Tanzania inaadhimisha miaka 54 ya Muungano, ambapo kauli mbiu ya siku ya Muungano kwa mwaka 2018, ni

 “Muungano wetu ni fahari yetu, tuuenzi”

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa