• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

WENYEVITI WA VIJIJI , VITONGOJI NA WAJUMBE WAAPISHWA

Posted on: November 29th, 2024

NEWALA

Viongozi wapya 2675 wa Serikali za vijiji na Vitongoji walioshinda kwenye nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika tarehe 27 Novemba 2024 wamekula kiapo cha uadilifu jana kwa ajili ya kuanza kazi ya kuwatumikia wananchi katika masuala mbalimbali ya maendeleo.


Viongozi hao ambao wote kutoka chama cha mapinduzi (CCM) wamekula kiapo katika Makao makuu ya Halmashauri  mbele ya Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Mwanzo Halmashauri ya Mji Newala Bi Elicy Mkonya, ambaye amewataka viongozi hao kufanya kazi kwa uadilifu kwa maslahi ya watu wote katika vijiji au vitongoji.


Aidha kwa mujibu wa Taarifa ya Afisa Uchaguzi aliyotoa akiwa Ofisini kwake kwa niaba ya Msimamizi wa Uchaguzi imesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) Newala DC kimeshinda kwa asilimia 100 katika uchaguzi huo ambapo wagombea 2675 wa CCM wamechaguliwa katika nafasi mbalimbali za uongozi ikiwemo Uenyekiti wa Kijiji nafasi 107,Uenyekiti wa Vitongoji nafasi 302,wajumbe mchanganyiko nafasi 1410 na wajumbe wanawake nafasi 856 .


Katika uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu Newala DC , vyamba 5 vya siasa  vilijitokeza kushiriki kikiwemo chama cha  CCM,ACT WAZALENDO,CUF ,NCCR MAGEUZI NA CHADEMA .


@ortamisemi

@msemajimkuuwaserikali

@mtwarars_habari

@dc_newal

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa