• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kata wapewa mafunzo elekezi Newala

Posted on: August 7th, 2020

Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Newala vijijini Bw. Duncan Thebas leo siku ya Ijumaa tarehe 07/08/2020 amefungua mafunzo ya wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata yaliyofanyika katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha ualimu Kitangari.

Akifunga mafunzo hayo Bw. Thebas, alianza kwa kuwapongeza washiriki hao kwa kuteuliwa kuwa Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kata.

"Tume imewateua ninyi kwa mujibu wa sheria na kwa kuzingatia utendaji na uzoefu wenu katika masuala ya uchaguzi ". Alisema Bw. Thebas

Wasimamizi wasaidizi wa Uchaguzi ngazi ya kata wakifuatilia mafunzo yanayotolewa katika mafunzo yaliyotolewa leo kwenye ukumbi wa mikutano wa chuo cha walimu Kitangari.

Wasimamizi hao wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata kwa jimbo la Newala vijijini wametakiwa kuzingatia wajibu na majukumu yao wanayoelekezwa kwenye mafunzo hayo ili kufanikisha zoezi la uchaguzi mkuu wa Rais na wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na madiwani wa Tanzania Bara.

"Pamoja na baadhi yenu kuwa wazoefu katika kuendesha uchaguzi, mhakikishe mnazingatia maelekezo mtakayopewa na Tume badala ya kufanya kazi kwa mazoea. Lakini pia, hakikisheni mnazingatia matakwa ya Katiba, sheria na kanuni zinazosimamia zoezi la uchaguzi. Alisisitiza Bw. Duncan

Washiriki hao wa mafunzo pia wametakiwa kuvishirikisha vyama vya siasa na wadau wengine wa uchaguzi katika masuala ambayo wanastahili kushirikishwa.

Mafunzo hayo yatafanyika kwa siku tatu kwa wasimamizi wasaidizi wa uchaguzi ngazi ya kata 44 wa jimbo la Newala vijijini kuanzia leo tarehe 07/08/2020 mpaka tarehe 09/08/2020 katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha ualimu Kitangari.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa