• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

NEWALA DC YATOA MAFUNZO KWA WALIOPATA MIKOPO YA ASILIMIA 10 YA MAPATO YA NDANI

Posted on: December 20th, 2024

Halmashauri ya wilaya ya Newala imetoa Mafunzo kwa wanufaika wa mikopo ya asilimia kumi ya mapato ya ndani yaliyotolewa  kupitia Idara ya maendeleo Jamii  ili kuhakikisha mikopo hiyo inatumika vyema kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii.


  Mafunzo hayo yamefanyika katika ukumbi wa Halmashauri Desemba 20,2024 yakisimamiwa na Maafisa Maendeleo Jamii  ambao ni wadau muhimu katika usimamizi wa mikopo .


Maafisa hao akiwemo Mkuu wa Division ya maendeleo Jamii Ndugu Geofrey Chitanda wametoa  maelekezo kwa  wanawake, vijana, na watu wenye ulemavu kuhakikisha mikopo hiyo inatumika kwa malengo yalikusudiwa ambayo ni kukuza ujasiriamali, kuboresha kipato, na kuinua hali ya maisha ya wanawake, vijana, na watu wenye ulemavu.Piamwanasheria wa Halmashauri Ndugu Shafii Mtinia ametoa rai kuhusu kanuni na taratibu za mikopo hiyo Kwa kuzingatia sheria zinazohusiana na utoaji wa mikopo ya asilimia kumi, na namna ya kutatua migogoro inayoweza kutokea katika kikundi husika


Kwa upande wa wanufaika wameishukuru serikali  awamu ya sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan Kwa kuwajali wajasiriamali  kuwapatia mikopo  na kuaahidi  kuifanyia kazi ipasavyo ili kujikwamua kiuchumi

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa