• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Mkuu wa Wilaya ya Newala atia saini mkataba wa Lishe.

Posted on: September 11th, 2018

Pichani ni Mkuuwa Wilaya ya Newala Mhe. Aziza Mangosongo (wa pili kutoka kushoto waliokaa) akitia saini mkataba wa lishe katika tathmini ya Afua ya Lishe iliyofanyika tarehe 10/09/2018 katika ukumbi wa Boma Mkoani Mtwara.


Mkuu wa Wilaya ya Newala Mhe. Aziza Mangosongo, ametia saini mkataba wa utekelezaji wa mpango wa Afua za Lishe unaotekelezwa kwa awamu nyingine Wilayani Newala.

Hatua hiyo imefikia wakati wa kikao maalum cha tathmini ya Afua ya Lishe kilichofanyika tarehe 10/09/2018 katika ukumbi wa Boma Mkoani Mtwara ambapo Mkoa ulibaini mapungufu na changamoto mbalimbali zilizojitokeza wakati wa utekelezaji wa mpango huo kwa mwaka 2017/2018 ikiwa ni pamoja na utafiti wa kidemografia wa Afya wa mwaka 2015/2016 ulioonyesha kupungua kwa udumavu kutoka asilimia 44 hadi asilimia 38, ingawa pamoja na kupungua kwa viwango hivyo, inakadiriwa kuwa bado kuna zaidi ya watoto elfu 78 na mia 8 na 7 (78,807) waliopo Mkoani Mtwara wamedumaa na hasa watoto wadogo pamoja na wamama wajawazito ambao wameonekana kutozingatia taratibu za lishe wakati wa ujauzito na pindi wanapojifungua, hali inayopelekea wao wenyewe pamoja na watoto wengi kupata utapiamlo na hivyo kupunguza nguvu kazi ya Taifa inayokusudiwa kuwepo katika nchi yetu ya Tanzania ya Viwanda.

Kufuatia hali hiyo Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Gelasius Byakanwa, ameingia mkataba maalum na Wakuu wa Wilaya zote za Mkoa wa Mtwara ikiwemo Wilaya ya Newala, ambao nao wataingia mkataba na wakurugenzi wao wa Halmashauri za Miji na za Wilaya, ili kuhakikisha kila Wilaya kwa ujumla inatekeleza mpango wa Lishe bora kwa jamii na kuondokana na tatizo la udumavu wa akili, utapiamlo na magonjwa yatokanayo na hiyo hali katika jamii zetu.

Nae Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Dr.Wedson Sichalwe ameziagiza Halmashauri zote za Mkoa wa Mtwara kuhakikisha zinatenga fedha kulingana na idadi ya watoto waliopo katika Halmashauri ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanawashirikisha wadau mbalimbali pamoja na viongozi wa dini kusaidia kutoa elimu ya mambo ya Lishe ili jamii iondokane na imani potofu juu ya mambo ya uzazi na lishe kwani wanavyohusisha madini ya Folic Acid na madini ya chuma sivyo ilivyo.  

Mkataba wa utekelezaji wa mpango wa lishe Wilayani Newala unatarajiwa kumaliza ama kupunguza tatizo kubwa la udumavu wa akili na utapiamlo kwa wamama na watoto Wilayani Newala.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa