“Madiwani wetu mmekuwa kiungo muhimu katika kusimamia utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa ufanisi mkubwa. Kazi yenu imesaidia kutafsiri ahadi za Chama kuwa huduma halisi kwa wananchi. Tunawapongeza kwa uzalendo na uwajibikaji mkubwa.”
– Mwenyekiti wa CCM Wilaya Ndugu Jabili Mtanda akizungumza kwenye mkutano maalum wa kuvunja Baraza la Madiwani Newala DC
Kitangari,Newala
Anuani ya Posta: P.O. Box 16
Simu: +255232410251
Mobile:
Barua pepe: ded@newaladc.go.tz
Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa