• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Mbio za Mwenge wa Uhuru Maalum mwaka 2021

Posted on: August 30th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Newala Mhe.Alhaji Mwangi Rajab Kundya,Kamati yake ya Ulinzi na Usalama na Wananchi wakiwa  tayari kwa ajili ya kupokea Mwenge wa Uhuru maalum kwa Mwaka 2021 katika Eneo la Shule ya Msingi Makukwe II ukitokea Wilayani Tandahimba,jumla ya Miradi saba(07) inayotarajiwa kupitiwa na Mbio za Mwenge ambayo ni ufunguzi wa Madarasa mawili(02) na Ofisi Moja(01) ya Shule ya Sekondari Makukwe,pia Kiongozi wa Mbio za Mwenge atazindua Klabu ya wapinga Rushwa Shuleni hapo.Kiongozi wa mbio za Mwenge atagawa  Pikipiki kumi na tano (15) kwa vikundi viwili  vya Bodaboda na Bajaji moja (01) kwa kikundi cha Walemavu,pia na kuona /kukagua shughuli za Wajasiliamali,Wanawake na wenye Ulemavu katika eneo la Shule ya Sekondari Ushirika .

Ujenzi wa Barabara ya Kiduni kuelekea Makondeko yenye urefu wa 1KM yenye kiwango cha Lami itawekewa jiwa la Msingi na kisha kuelekea katika Mradi wa Maji Chitandi kuona na kukagua maendeleo ya ujenzi baada ya hapo Mwenge utaelekea Tupendane ambao utazindua kiwanda cha kukoboa na kusaga Nafaka cha HKM na baada ya hapo utaelekea Zahanati ya Tupendane ambapo utajioonea/ kukagua na kupata taarifa ya Mifumo ya TEHAMA,uzinduzi wa Zahanati ya Tupendane na Kupata taarifa ya wilaya ya Lishe na kukagua Banda la kutoa Elimu ya Lishe.

Mwenge wa Uhuru Maalum utahitimisha mbio zake katika wilaya ya Newala katika Eneo la Mkesha Stendi ya Mabasi Luchingu ambapo kiongozi wa mbio za Mwenge atajionea na kukagua juhudi za Wilaya katika kutoa Elimu ya TEHAMA,LISHE,kupambana na Malaria,UKIMWI,Madawa ya Kulevya na Rushwa.Pia Wananchi watapata fursa ya kusikiliza Risala ya Utii,Ujumbe wa Mwenge wa Uhuru Maalum na kupata burudani.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa