• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Afrika wilaya Newala

Posted on: June 20th, 2017

Maadhimisho ya siku ya motto Afrika wilayani Newala

Tar 20 Juni 2017 yalifanyika maadhimisho ya siku ya mtoto  wa Afrika wilayani Newala katika kijiji cha Nangudyane.Maadhimisho hayo yaliendena na kauli mbiu isemayo “Maendeleo endelevu 2030 imarisha ulinzi na fursa sawa kwa watoto”.

Maandamano ya watoto


Mgeni Rasmi akipokewa kwa maandamano ya watoto

Maadhimisho hayo yalihudhuliwa na Mh. Mkuu wa wilaya Newala akiwa mgeni rasmi.

Katika maadhimisho hayo kulitolewa elimu na nasaha mbali mbali juu ya ulinzi na afya kwa motto kupitia nyimbo,maigizo na risala.

Pia risala ya watoto ilisomwa na mkuu wa shule ya msingi Tumaini ikielezea changamoto mbali mbali kwa watoto hasa katika shule ya msingi Tumaini,ikiwa ni pamoja na upungufu wa madarasa,upungufu wa matundu ya choo,walimu  na nyumba za walimu.

Mkuu huyo alimuomba mgeni rasmi kujionea hali halisi ya Nyumba ya Mkuu wa shule na choo chake na vyoo vya wanafunzi ambavyo haviko katika hali nzuri.


Afisa maendeleo ya jamii ambaye alimuwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa Halimashauri ya wilaya Newala Bi.Christina Kambuga alitolea majibu na ufafanuzi juu ya mipango na mikakati ya serikali katika kumlinda mtoto na mipango ya maendeleo katika kijiji hicho na Nangudyane .


Mkuu wa wilaya Newala ambaye pia alikuwa mgeni rasmi wa maadhimisho hayo aliongea na hadhira juu ya ulinzi na usalama kwa watoto na jukumu la wazazi,walezi na jamii kwa ujumla katika kumlinda na kumthmin  mtoto.

Pia mkuu wa wilaya alifanya uzinduzi wa chanjo kwa watoto na kutembelea nyumba na choo cha mwalimu mkuu pamoja na vyoo vya wanafunzi.

Aidha mgeni rasmi alitoa zawadi kwa makundi yaliyotumbuiza na kwa watoto wote waliofika katika maadhimisho hayo.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa