• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Jumla ya Kiasi cha Tsh.1,722,812,765.74 kimetumika katika Miradi saba iliyozinduliwa na Kiongozi wa Mbio Maalum za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Mwaka 2021 Ndugu Luteni Josephine Paul

Posted on: August 31st, 2021

Mwenge wa Uhuru Maalum mwaka huu wa 2021 katika Wilaya ya Newala umekimbizwa katika Miradi saba(7) yenye jumla ya gharama kiasi cha fedha Bilioni Moja,Milioni Mia Saba na Ishirini na Mbili ,Laki Nane Kumi na Mbili Elfu Mia Saba Sitini na Tano na Senti Sabini na nne(Tsh.1,722,812,765.74) Fedha hizi zikiwa ni mchango wa serikali kuu iliyochangia kiasi cha Tsh.1,404,451,502.35 sawa na 81.52%,Michango ya Wananchi ni kiasi cha Tsh.113,007,000.00 sawa na 6.56%,Wilaya ya Newala imechangia kiasi cha Tsh.48,000,000.00 sawa na 2.79%.Fedha kutoka kwa hisani ni Tsh.157,354,263.39 sawa na 9.13%

Miradi saba iliyopitiwa na Mwenge ni Ujenzi wa Madarasa mawili na ofisi Moja katika shule ya Sekondari Makukwe yaliyogharimu kiasi cha Tsh.46,000,000.00.Ugawaji wa Pikipiki Kumi na Tano (15) na Bajaji Moja(01),mradi uliogharimu kiasi cha Tsh.44,000,000.00

Kiasi cha Tsh.927,392,502.00 kimetumika katika mradi wa ujenzi wa miundo mbinu ya Maji Chitandi ikiwa ni Fedha kutoka Serikali kuu,Serikali Kuu imechangia pia Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Kiduni kuelekea Makondeko kwa kiwango cha lami chenye urefu wa 1KM,kiasi cha Tsh.477,500,094.00

Mradi wa Ujenzi wa Zahanati ya Tupendane imefadhiliwa na Wahisani kwa kiasi cha Tsh.117,354,263.39 huku Wananchi wakichangia kiasi cha Fedha Tsh.111,007,000.00 katika mradi wa Kampuni ya HKM Super Sembe.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa