• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Jitihada za uboreshaji wa miundombinu ya sekta ya elimu zaimarishwa Newala

Posted on: May 20th, 2020

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala Bw. Mussa Chimae leo Jumatano tarehe 20/05/2020 amewaeleza wajumbe wa mkutano wa baraza la madiwani jitihada zinzofanywa na Halmashauri katika uboreshaji wa miundombinu ya sekta ya elimu.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bw. Mussa Chimae (aliyesimama) akizungumza katika mkutano wa baraza la madiwani 

Akizungumza katika mkutano huo,  Bw. Chimae ameeleza kuwa ujenzi wa madarasa 16 kupitia fedha za malipo kulingana na matokeo (EP4R) umekamilika kwa asilimia 100 katika shule 16 za msingi na madarasa 9 yanayojengwa kupitia mfuko wa elimu ujenzi wake unaendelea katika shule 3 shikizi za Mtunguru B, Chikalule na Chikuti.

Wah. Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala wakifuatilia taarifa katika mkutano wa baraza la madiwani

Aidha, ujenzi wa madarasa 2 na ofisi katika shule za sekondari Mpotola na Makukwe umefikia katika hatua ya upauaji ambapo ujenzi huo unagharimu shilingi milioni 40 fedha zilizotolewa na mfuko wa elimu wa Wilaya.

Akiendelea kuzungumza kwenye mkutano huo, Bw. Chimae pia ameueleza mkutano huo kuwa, katika kipindi cha Januari mpaka Machi 2020, Halmashauri imeweza kutoa mikopo kwa vikundi 14 vya wanawake, vijana na walemavu yenye jumla ya shilingi milioni 51.

Mkutano huo wa baraza la madiwani ni wa kawaida wa robo ya tatu kwa mwaka wa fedha 2019/2020 ambao umejadili taarifa za maendeleo za Halmashauri ya Wilaya ya Newala na umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha walimu Kitangari.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa