• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU YA BAJETI YA BILIONI 24

Posted on: March 1st, 2018

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Newala limepitisha rasimu ya bajeti ya Tsh. 24,301,601,003.83 kwa mwaka 2018/2019 katika mkutano wa baraza la madiwani uliofanyika siku ya Jumatano tarehe 28/02/2018 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala.

Akiwasilisha rasimu hiyo ya bajeti ya mwaka 2018/2019, Mweka Hazina wa Halmashauri ya wilaya ya Newala Bw. Innocent Magayane,  alisema kuwa bajeti hiyo ni kutoka vyanzo mbalimbali vya mapato ikiwemo ruzuku kutoka Serikali Kuu (ikihusisha Tsh. 16,840,956,958.83 ya mishahara; Tsh. 848,015,000.00 matumizi ya kawaida na Tsh.1,791,448,084.00 miradi ya maendeleo), wahisani wa maendeleo Tsh. 3,030,090,961.00 na mapato ya ndani ya Halmashauri Tsh. 1,791,090,000.

Aidha kiasi hicho cha fedha kitatumika katika kuhudumia sehemu kuu tatu ambazo ni mishahara ya watumishi Tsh. 16,840,956,958.83, matumizi ya kawaida ya ofisi za Halmashauri Tsh. 1,850,322,000.00 na kugharamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo Tsh. 5,610,322,045.00.

Akizungumza katika mkutano huo wa baraza la madiwani, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala Mhe. Chitwanga Rashid Ndembo aliwasisitiza watumishi na madiwani juu ya kusimamia vizuri ukusanyaji wa mapato ya ndani kwa kuwa ndiyo yanayowezesha kuendesha shughuli za kawaida za Halmashauri.

Mkutano huo ulikuwa wa siku moja kwa ajili ya kujadili na kupitisha rasimu ya mpango na bajeti kwa mwaka 2018/2019 na mpango wa motisha wa watumishi wa Halmashauri kwa mwaka 2018/2019.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MWEZI WA AFYA NA LISHE KWA WATOTO

    July 04, 2025
  • UJUMBE WA SHUKRANI KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    July 04, 2025
  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa