• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

PICHA ZIKIONYESHA MAENDELEO YA UJENZI WA VYUMBA VYA MADARASA 2021/2022,MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA FEDHA ZILIZO CHINI YA MPANGO WA MAENDELEO YA USTAWI WA TAIFA NA MAPAMBANO DHIDI YA UVIKO19 PAMOJA NA USHURU WA TOZO

  • Shule ya Sekondari Lengo Ujenzi wa Madarasa mawili ukiwa katika hatua ya msingi

    Shule ya Msingi Chiboni Ujenzi wa Madarasa mawili ya Shule ya Msingi Chiboni ukiwa katika hatua ya msingi,ujenzi huu unaotekelezwa kwa fedha za Mpango wa Maendeleo wa ustawi kwa taifa na Mapambano dhidi ya Uviko19

    Shule ya Msingi Chiboni Muonekano wa Jengo la madarasa matatu ukiwa katika hatua ya boma,mradi huu unatekelezwa kwa nguvu ya wananchi

    Shule ya Sekondari Makukwe Ujenzi wa madarasa mawili ukiwa katika hatua za umaliziaji,madarasa haya yamejengwa kwa fedha za Tozo za miamala ya simu

    Shule ya Sekondari Makukwe Ujenzi wa madarasa mawili ukiwa katika hatua ya msingi,ujenzi huu unatekelezwa kwa fedha za UVIKO19

    Shule ya Sekondari Maputi ujenzi wa madarasa mawili ukiwa katika hatua ya kupandisha boma

    Shule ya Sekondari Maputi Muonekano wa Maabara,Ujenzi huu umetekelezwa kwa fedha za Mfuko wa Elimu na SEQUIP

    Shule ya Msingi Mpirani Shikizi Ujenzi wa Madarasa mawili ukiwa hatua ya uwekaji mawe juu ya Msingi,ujenzi huu unatekelezwa kwa fedha za UVIKO19

    Shule ya Msingi Mpirani Shikizi Ujenzi wa Madarasa mawili ukiwa katika hatua ya boma,ujenzi huu unatekelezwa kwa nguvu ya wananchi

    Shule ya Sekondari Mpotola Ujenzi wa madarasa mawili ukiwa katika hatua ya kupandisha ukuta,Mradi huu unatekelezwa kwa fedha zaUVIKO19

    Shule ya Sekondari Mpotola jengo hili likiwa katika hatua ya umaliziaji,limejengwa kwa feha za mfuko wa Elimu na Tozo za miamala ya simu

    Shule ya Sekondari Mpotola Jengo hili limekamilika,limjengwa kwa fedha za EP4R PHASE9-2020/2021

    Shule ya Sekondari Mpotola Madarasa haya mawili yamekamilka na yanatumika,mradi huu umetekelezwa kwa fedha za EP4R 2019-2020

    Shule ya Sekondari Mtopwa Ujenzi wa Madarasa manne ukiwa katika hatua za maandalizi ya kujaza jamvi(zege) kwa maaana ya upangaji mawe na usukaji wa nondo

    Shule ya Sekondari Mtopwa Maabara ikiwa tayari kwa matumizi ,mradi huu umetekelezwa kwa fedha za Mfuko wa Elimu

    Shule ya Sekondari Ushirika Ujenzi wa madarasa mawili ukiwa katika hatua ya kupandisha boma,Mradi huu unatekelezwa kwa fedha za UVIKO19

    Shule ya Msingi Chiboni tarehe 29/11/2021 ujenzi huu wa madarasa mawili ya Shule ya Msingi Chiboni upo katika hatua ya kupandisha ukuta(Boma)

    Shule ya Sekondari Lengo kwa tarehe 29 Novemba,2021,hatua ya ujenzi wa madarasa mawili ya Shule ya Sekondar Lengo yamefikia katika hatua ya Kuweka Linta

    Shule ya Sekondari Makukwe Taarifa za tarehe 29 Nov,2021 ujenzi wa madarasa mawili ya Shule ya Sekondari Makukwe umefikia hatua ya Kumwaga Linta, kama picha inavyoonyesha hapo mafundi wapo hatua ya Mwisho kumalizia kujenga ukuta

    Shule ya Sekondari Maputi Ujenzi wa Madarasa mawili ya Shule ya Sekondari Maputi yakiwa katika hatua ya kumwaga Linta

    Shule ya Msingi Mpirani Shikizi Ujenzi wa madarasa mawili yakiwa katika hatua ya kupandisha boma tarehe:29 Nov,2021

    Shule ya Sekondari Mpotola Ujenzi wa vyumba vya Madarasa Matatu kwa shule ya sekondari ya Mpotola ukiwa katika hatua ya kumwaga linta tarehe 29,Nov,2021.

    Shule ya Sekondari Ushirika Ujenzi wa vyumba vya madarasa mawili kwa shule ya sekondari ushirika ukiwa katika hatua ya kumwaga Linta Tarehe 29/11/2021

    Shule ya Sekondari Vihokoli Ujenzi wa Vyumba vya madarasa mawili kwa shule za sekondari Vihokoli ukiwa katika hatua ya kumwaga Linta Tarehe 29/11/2021

    Shule ya Sekondari Mtopwa Ujenzi wa vyumba vya madarasa manne kwa Shule ya Sekondari Mtopwa ukiwa katika hatua za ukamilishaji wa kupandisha Boma Tarehe 29/11/2021

    Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa matatu(03) kwa Shule ya Sekondari Mpotola,hali ya Jengo inavyooneka kwa Tarehe 14/12/2021 likiwa katika hatua za mwishoni

    Ujenzi wa Vyumba viwili vya Madarasa kwa shule ya Msingi Mpirani(SHIKIZI),Mradi huu unatekelezwa kwa Fedha za Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO19(16/12/2021)

    Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa Mawili kwa shule ya Sekondari Vihokoli,Mradi huu unatekelezwa chini ya Mpango wa Maendeleo wa Ustawi kwa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO19(16/12/2021)

    Ujenzi wa Vyumba viwili kwa Shule ya Msingi Mnauke(SHIKIZI).Mradi huu unatatekelezwa kwa Fedha za Mpango wa Maendeleo wa Ustawi kwa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO19(16/12/2021)

    Ukamilishwaji wa Jengo la Vyumba Viwili kwa Shule ya Sekondari ya Makukwe,Ujenzi huu unatekelezwa kwa Fedha za Ushuru wa Tozo(16/12/2021)

    Ujenzi wa Vyumba viwili vya Madarasa kwa Shule ya Sekondari Makukwe.Mradi huu unatekelezwa kwa fedha za Mpango wa Maendeleo wa Ustawi kwa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO19(16/12/2021)

    Ujenzi wa Vyumba Viwili vya Madarasa kwa shule ya Msingi Dododma(SHIKIZI).Mradi huu unatekelezwa kwa Fedha za Mpango wa Maendeleo wa Ustawi kwa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO19(16/12/2021)

    Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa kwa Shule ya Sekondari Chitekete.Mradi huu upo chini ya Mpango wa Maendeleo wa Ustawi kwa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO19(16/12/2021)

    Ujenzi wa Vyumba vitatu(3) vya Madarasa kwa Shule ya Sekondari Mpotola,Mradi huu unatekelezwa chini ya Mpango wa Maendeleo wa Ustawi kwa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO19(14/12/2021)

    Ukamilishwaji wa Jengo la Madarasa Mawili kwa Fedha za Ushuru wa Tozo,lipo katika hatua ya uwekaji marumaru(14/12/2021)

    Ujenzi wa Vyumba Viwili vya Madarasa kwa Shule ya Sekondari Maputi.Mradi huu unatekelezwa chini ya Mpango wa Maendeleo wa Ustawi kwa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO19

    Ujenzi wa vyumba vya Madarasa Mawili kwa Shule ya Sekondari Mkoma.Mradi huu unatekelezwa kwa Fedha za Mpango wa Maendeleo na Ustawi kwa Taifa na Mapambo dhidi ya UVIKO19(14/12/2021)

    Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa kwa Shule ya Sekondari Mikumbi.Mradi huu upo chini ya Mpango wa Maendeleo wa Ustawi kwa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO19(14/12/2021)

    Ujenzi wa Vyumba Vinne vya Madarasa kwa Shule ya Sekondari Mnyambe,Mradi huu unatekelezwa chini ya Mpango wa Maendeleo wa Ustawi kwa Taifa na Mpambano dhidi ya UVIKO19(14/12/2021)

    Ujenzi wa vyumba viwili vya Madarasa kwa shule ya Sekondari Ushirika.Mradi huu upo chini ya Mpango wa Maendeleo wa Ustawi kwa Taifa na Mapambano Dhidi ya UVIKO19(14/12/2021)

    Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa kwa shule ya Msingi Chiboni(SHIKIZI).Mradi huu upo chini ya Mpango wa Maendeleo wa Ustawi kwa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO19(14/12/2021)

    Shule ya Sekondari Maputi,Muonekano wa Jengo la Shule ya Sekondari Maputi likiwa limekamilika,Jengo hili lina Madarasa Mawili na Ofisi Moja.Jumla ya kiasi cha Tsh. kimetumika kugharamia Vyumba vya Madarasa Mawili na Ofisi Moja,Fedha hizi zimetolewa na Mpango wa Maendeleo wa Ustawi kwa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO19(27/12/2021)

    Shule ya Sekondari Lengo,Jengo la Vyumba vya Madarasa Mawili na Ofisi Moja la Shule ya Sekondari Lengo likwa limekamilika,Gharama zilizotumika kufanikisha mradi huu ni kiasi cha Tsh....Fedha zilizotolewa chini ya Mpango wa Maendeleo wa Ustawi kwa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO19(27/12/2021)

    Shule ya Sekondari Mpotola,Jengo lenye vyumba vitatu vya Madarasa na Ofisi Mmoja likiwa limekamilika,Jengo hili limejengwa chini ya Mradi wa Maendeleo wa Ustawi kwa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO19,Gharama zilizotumika kukamilisha jengo hili ni Kiasi cha Tsh.(27/12/2021)

    Shule ya Sekondari Ushirika,Jengo la vyumba viwili vya Madarasa na Ofisi Moja likiwa limekamilika,Gharama zilizotumika kujenga jengo hili ni KIasi cha Tsh..Fedha hizi zimetolewa chini ya Mpango wa Maendeleo wa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO19(27/12/2021)

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YATOA SHUKRANI KWA MHE.RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

    June 04, 2025
  • Utekezaji wa Ujenzi mpya ya Sekondari Mtunguru

    May 29, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA

    May 29, 2025
  • UTEKEZAJI WA ILANI YA CCM

    May 27, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa