• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

VITUO 302 KUTUMIKA KUPIGA KURA NEWALA DC UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 27,NOVEMBA 2024

Posted on: August 21st, 2024

NEWALA, MTWARA 

Afisa Uchaguzi Halmashauri ya wilaya ya Newala Ndugu Lukumbuso John Mbwilo amesema vituo 302 sawa na vitongoji 302 katika Halmashauri ya wilaya ya Newala vitatumika uandikishaji na kupiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika 27,Novemba 2024


  Mbwilo amesema hayo leo Agoati 21,2024 wakati akihojiwa na Afisa Habari wa Newala DC ofisini kwake kuhusu umuhimu na maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu.


"Umuhimu wa kuchagua viongozi wa serikali za mitaa ni kupata viongozi wenye sifa ambao wanajua maana ya maendeleo kwa wananchi kwa sababu katika ngazi ya chini wao ndio wanasimamia fedha za serikali zinazotumika kujenga miradi ya maendeleo"

 " Tuchague viongozi imara,bora na makini kwa ajili ya kuleta maendeleo katika vijiji vyetu " amesema Mbwilo. 


Aidha ametoa wito kwa wananchi wenye umri kuanzia miaka 18 kujitokeza kwa wingi kwenda kujiandikisha kuwa mpiga kura litakapoanza zoezi la uandikishaji Oktoba 11,2024 mpaka Oktoba 20,2024 na kuhudhuria mikutano ya kampeni ili kupima nani anafaa kuwa Kiongozi wa Serikali ya Kijiji au Kitongoji .

@ortamisemi 

@samia_suluhu_hassan 

@dc_newala 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa