• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Vitambulisho 1200 vya wajasiriamali vyakabidhiwa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

Posted on: May 27th, 2020

Halmashauri ya Wilaya ya Newala leo tarehe 27/05/2020 imepatiwa vitambulisho 1200 vya wajasiriamali wadogo wadogo.

Vitambulisho hivyo vimetolewa mbele ya Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Newala Bi. Aziza Mangosongo ikiwa ni muendelezo wa zoezi la uuzaji wa vitambulisho hivyo lililoanza mwezi Januari 2019 kwa Halmashauri ya Wilaya ya Newala.

Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Newala Bw. Lucas Luoga akikabidhi vitambulisho vya wajasiriamali 1200 kwa Afisa Biashara wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala Bi. Tumaini Saidi 

Akizungumza katika zoezi hilo la ugawaji wa vitambulisho vya wajasiriamali, Mhe. Mangosongo amewataka wajasiriamali wadogo kufika katika ofisi za vijiji na kata kuchukua vitambulisho hivyo kwa gharama ya shilingi elfu ishirini tu.

"Vitambulisho hivi vya wajasiriamali wadogo vinasaidia sana kwa kuwa ukilipa elfu ishirini tu utadumu na kitambulisho hicho kwa mwaka mzima na hutadaiwa ushuru wa Halmashauri wala kubughudhiwa na mtu yoyote." Amesema Mhe.Mangosongo.

Watendaji wa kata na vijiji wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala wakiapa kiapo cha uaminifu na uadilifu kabla ya kukabidhiwa vitambulisho vya wajasiriamali kwa ajili ya kuviuza. 

Zoezi hilo la uuzaji wa vitambulisho vya wajasiriamali litafanywa na watendaji wa kata na vijiji ambao leo wameapa kiapo cha uaminifu na uadilifu katika kusimamia zoezi hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa