• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Shule ya msingi kitangari B yazawadiwa pikipiki kwa kufanya vizuri mtihani wa darasa la saba 2018

Posted on: January 31st, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Newala Bi. Aziza Mangosongo kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Bw. Gelasius Byakanwa jana tarehe 30 Januari, 2019 amekabidhi zawadi ya pikipiki kwa mwalimu mkuu wa shule ya msingi Kitangari B ikiwa ni pongezi kwa shule hiyo kuongoza kwa ufaulu kimkoa  katika matokeo ya darasa la saba kwa mwaka 2018.

Tukio hilo la kukabidhi zawadi hiyo ya pikipiki limefanyika kwenye mkutano wa baraza la madiwani uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Akikabidhi zawadi hiyo, Bi. Mangosongo amezitaka shule nyingine kuiga mfano wa shule ya msingi Kitangari B na kuhakikisha wanafunzi wanajifunza vizuri na kufanya vizuri katika mitihani yao na kwa Kitangari B pikipiki hiyo iwe ni motisha ya wao kuendelea kufanya vizuri zaidi.

Hali ya ufaulu katika mitihani ya Taifa kwa Halmashauri ya Wilaya ya Newala imekuwa ikiongezeka kutokana na kuimarika kwa mikakati ya taaluma na utendaji kazi wa walimu, ambapo kwa upande wa darasa la saba hali ya ufaulu imeongezeka kutoka asilimia 65 kwa mwaka 2017 hadi asilimia 84 kwa mwaka 2018 sawa na ongezeko la asilimia 19.

Shule ya msingi Kitangari B imeshika nafasi hiyo ya kwanza kati ya shule 247 za msingi za Mkoa wa Mtwara zenye wanafuzi zaidi ya 40 zilizofanya mtihani wa taifa wa darasa la saba kwa mwaka 2018 kwa wanafunzi wake wote 49 kufaulu mtihani huo.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Utekezaji wa Ujenzi mpya ya Sekondari Mtunguru

    May 29, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA

    May 29, 2025
  • UTEKEZAJI WA ILANI YA CCM

    May 27, 2025
  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa