• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

RAIS SAMIA ATOA BILIONI 1.2 KUJENGA MADARASA, MABWENI NA NYUMBA ZA WALIMU SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI NEWALA DC

Posted on: July 3rd, 2024

NEWALA, MTWARA

 Halmashauri ya wilaya ya Newala imepokea shilingi Bilioni 1.2 kutoka Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya ujenzi wa madarasa katika shule za msingi na Sekondari.

    Taarifa ya Mapokezi ya fedha hizo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya ya Newala Ndugu Dancun Thebas wakati wa kikao maalum cha Baraza la Madiwani cha kujadili hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kilichofanyika ukumbi wa Chuo cha Ualimu Kitangari Juni 27,2024.

  Amesema kati ya fedha hizo shilingi Milioni 250.7 zitatumika kujenga madarasa ya shule za msingi na shilingi Bilioni 1.24 zitatumika kujenga madarasa ya shule za Sekondari.

   Ndugu Dancun amesema Rais amesikia kilio cha wananchi wa Newala Dc kuomba kujengewa kidato cha tano na sita hivyo kati ya fedha hizo shilingi Milioni 404 zitatumika kuanzisha ujenzi wa madarasa ya kidato cha tano na sita katika shule ya sekondari Nanda Tarafa ya Kitangari.

   Kuanzishwa kwa kidato cha tano na sita katika shule hiyo kutakuwa ni mkombozi sana kielimu kwa kuwa Halmashauri ilikuwa na shule moja ya kidato cha tano na sita katika Kijiji cha Mnyambe

   Mkurugenzi Thebas amewaomba Madiwani kujipanga na kushirikiana na Menejimenti kuhakikisha miradi yote inakamilika kwa wakati kwani Rais Samia ametoa maelekezo ujenzi wa madarasa ukamilike ndani ya miezi mitatu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MWEZI WA AFYA NA LISHE KWA WATOTO

    July 04, 2025
  • UJUMBE WA SHUKRANI KWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

    July 04, 2025
  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa