• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

MRADI WA UJENZI MPYA WA SEKONDARI YA MTUNGURU WENYE THAMANI YA MILIONI 560.5 WATAMBULISHWA RASIMI KWA WANANCHI

Posted on: July 20th, 2024

NEWALA

Halmashauri ya Wilaya ya Newala imetambulisha rasmi mradi wa Ujenzi wa Shule Mpya ya sekondari ya Mtunguru wenye thamani ya shilingi milioni 560.5 ili kuondoa changamoto ya wanafunzi kusafiri umbali mrefu kwenda kupata Elimu shule ya sekondari makukwe iliopo kata ya Makukwe.

 Kaimu Afisa Elimu Sekondari Ndugu Rashidi Mnuwone aliwasilisha taarifa ya mapokezi ya fedha hizo kwa wananchi kwenye mkutano wa Kijiji uliofanyika julai 18,2024 Kijiji cha Mtunguru kata ya Mtunguru na kueleza kuwa kwa mujibu wa muongozo kutoka serikali fedha hizo zitatumika kujenga madarasa 8,Jengo la utawala,maabara za masomo ya sayansi 3,vyoo matundu 8,kichomea taka ,Jengo la maktaba na jengo la Tehama kwa ajili ya wanafunzi kujifunza teknolojia ya habari na mawasiliano.

 Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Newala Ndugu Duncan Thebas amewaomba wananchi wa kata ya Mtunguru kujitolea nguvu kazi, kushirikiana na Serikali katika kujenga na kukamilisha mradi huo.

 Aidha amempatia sifa Diwani wa kata hiyo Mhe.Rashid Ndembo kwa kuwaletea maendeleo wananchi wake .

 Wananchi wa kata ya Mtunguru akiwemo Bi Lukia bakari na Kazumari Jazari na Diwani wa kata higo Mhe.Rashid Ndembo wamemshukuru Rais Samia suluhu kwa kuleta fedha za kujenga sekondari kwani watoto wao wataondoa adha ya kusafiri umbali mrefu kwenda kata ya Makukwe kupata Elimu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa