• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA KWANZA 2024/25

Posted on: October 25th, 2024

NEWALA, MTWARA

Baraza la Madiwadi Halamshauri ya Wilaya ya Newala limefanya kikao cha kawaida,robo ya kwanza ya mwaka wa fedha wa 2024/25 Oktoba 24,2024 ambapo masuala mbalimbali yamejadiliwa katika taarifa za kamati za kudumu za Halamashauri,taarifa za maendeleo ya kata na miradi ya maendeleo.


Akifunga kikao hicho Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Mfaume  Lada amesisitiza  suala la utawala bora kwa watumishi wa umma katika kuwahudumia wananchi.


 "Niendelee kusisitiza suala la Utawala bora,wananchi wamekuwa wakienda ofisi za vijiji,kata na maeneo mengine ya kupata huduma za kijamii lakini lugha wanazokutanazo sio lugha rafiki”


“kwa hiyo niombe watumishi wa umma kuhakikisha  wananchi wenye matatizo wanasikilizwa na kuhudumiwa bila vikwazo na kama changamoto imezidi uwezo wa kushughulikia basi tumia njia ya ushirikishwaji kwa kuwatumia  viongozi wa ngazi ya juu lengo ni kuona wananchi wanapata huduma bora” Amesema Lada.


Aidha ametoa rai kwa viongozi wa Halmashauri kuhakikisha miradi yote maendeleo inayotekelezwa ndani ya Halmashauri inasimamiwa  na kutekelezwa kwa wakati na kwa ubora unaokubalika, kwani serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan inawekeza fedha nyingi kwa ajili ya miradi hiyo.


Kwa upande wa Kaimu Mkurungezi Ndg. Mohamed Muhudini amewaomba madiwani kushiriki uchanguzi wa serikali za mitaa kwa kuhamasisha wananchi kuchagua viongozi bora ifikapo tarehe ya uchaguzi Novemba 27,2024 ambao watasimamia maendeleo katika vijiji na vitongoji..

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa