• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Miradi yote saba yapitiwa na kukubaliwa na Mwenge wa Uhuru Halmashauri ya Wilaya ya Newala

Posted on: October 3rd, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Newala siku ya Jumatano tarehe 02/10/2019 imepongezwa kwa kufanya vizuri katika utekelezaji wa miradi saba (7) iliyopitiwa na Mwenge wa Uhuru.

Pongezi hizo zimetolewa na kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Bw. Mzee Mkongea Ali wakati wa kuhitimisha mbio hizo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Newala na kuendelea kwenye Halmashauri ya Mji wa Newala siku ya Alhamisi tarehe 03/10/2019.

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa, Bw. Mzee Mkongea Ali akizungumza na wana Newala katika eneo la mkesha wa Mwnge wa Uhuru siku ya Jumatano tarehe 02/10/2019.

Kwa Halmashauri ya Wilaya ya Newala, Mwenge wa Uhuru umekimbizwa katika umbali wa kilomita 81.2 kwenye kata 9, vijiji 17 na umepitia miradi 7 yenye thamani ya shilingi 1,390,623,555 ambapo mradi mmoja umewekwa jiwe la msingi, miradi mitano imeonwa na kukaguliwa na mradi mmoja umezinduliwa.


Miradi hiyo ni ujenzi wa bweni moja, madarasa mawili na ununuzi wa samani katika shule ya sekondari Mnyambe, uzinduzi wa klabu ya uchaguzi katika kijiji cha Mnyambe, kuona na kukagua maendeleo ya klabu ya kupinga rushwa shule ya sekondari Mnyambe, kuona na kukagua huduma za afya zinazotolewa katika Halmashauri ya Wilaya ya Newala, mradi wa maji na kupanda miti chanzo cha maji mitema, shughuli za vikundi vya wajasiriamali wanawake, vijana na walemavu, na ukaguzi wa mabanda ya TAKUKURU, Polisi, uchaguzi na afya.

Mwenge wa Uhuru kwa Halmashauri ya Wilaya ya Newala ulipokelewa katika kijiji cha Miyuyu na kukesha katika kijiji cha Kitangari ukiwa na kauli mbiu isemayo "Maji ni haki ya kila mtu, Tutunze vyanzo vyake na tukumbuke kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa"

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa