• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

MHE MANGOSONGO AFUNGUA RASMI MAFUNZO YA WATOA HUDUMA NGAZI YA JAMII KWA MIRADI YA TASAF

Posted on: January 3rd, 2018

Mkuu wa Wilaya ya Newala, Mhe. Aziza Mangosongo amefungua rasmi mafunzo ya watoa huduma ngazi ya jamii (LSPs) tarehe 02/01/2018 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala.

Akizungumza katika ufunguzi huo, Mhe. Mangosongo amewataka wasimamizi hao wa miradi kuwa wazalendo kwa kusimamia vema miradi hiyo na kutoa ushauri wa kitaalamu pale unapohitajika ili kuleta ufanisi katika miradi husika.

Mbali na kusimamia miradi hiyo, Mhe. Mangosongo amewataka wasimamizi hao kusikikiliza na kusaidia kutatua kero za walengwa pale inapowezekana kwa kuwa sasa wao wanaufahamu mpango vizuri pia kuwahamasisha walengwa kujiunga na mfuko wa afya ya jamii (CHF) kwa kuwa itawasaidia katika kupata huduma za matibabu wao na familia zao.

Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Mussa Chimae akisisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa mafunzo ya watoa huduma ngazi ya jamii kwa miradi ya TASAF

Mafunzo hayo yalitolewa kwa wasimamizi wa miradi kwa vijiji 97 vya Wilaya ya Newala vilivyopo kwenye mpango wa kunusuru kaya masikini na yalichukua muda wa siku 6 kuanzia tarehe 02/01/2018 hadi tarehe07/01/2018.

Miradi hiyo inatarajiwa kutekelezwa kuanzia mwezi Januari hadi Aprili 2018, na ni jumla ya miradi 102 katika vijiji 97 vilivyopo kwenye mpango wa kunusuru kaya masikini na itakuwa na jumla ya Tsh. 949,078,043.00

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa