• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA JIMBO LA NEWALA VIJIJINI

Posted on: January 22nd, 2025

MAAFISA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI ngazi ya kata Jimbo la Newala Vijijini Jana Januari 21,2025 wamekula kiapo cha maadili ili kuhakikisha kwamba wanafanya kazi yao kwa uadilifu, uwazi, na kwa kufuata sheria na taratibu zinazohusiana na uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura.


 Hakimu Mkazi wa Mahakama ya mwanzo Kitangari Bi. Rozzy Jamila ambaye  ameongoza zoezi hilo amesema kiapo hicho  kinawataka maafisa hao  kufanya kazi bila upendeleo, rushwa, au kuegemea upande wowote wa kisiasa,kuwajibika kwa vitendo vyao, kuhakikisha kwamba wanaheshimu na kufuata sheria .


Pia kuhakikisha kwamba maamuzi yote yanayofanywa wakati wa uandikishaji yanazingatia haki za kikatiba za wapiga kura na kutojihusisha na vitendo vinavyoweza kuathiri uaminifu wa mchakato wa uboreshaji wa daftari la wapiga kura .


Maafisa waandikishaji wasaidizi 22 ngazi ya kata  katika Jimbo la Newala Vijijini wameanza mafunzo yao Jana Januari 21,2025 kuhusu Uboreshaji wa Daftari la wapiga kura na mafunzo hayo yatamalizika leo januari 22,2025 yakiongozwa na wataalam wawezeshaji  kutoka Tume Huru ya Taifa ya uchaguzi kwa kushirikiana na maafisa waandikishaji ngazi ya Jimbo .


# Kujiandikisha kuwa mpiga kura ni Msingi wa Uchaguzi bora#

@ortamisemi

@mtwarars_habari

@tumeyauchaguzi_tanzania

@dc_newala

@msemajimkuuwaserikali

@newalafmtz

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa