• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Maendeleo ya Utekelezaji wa Mradi wa Maji Mnima

Posted on: January 31st, 2022


Leo tarehe 31/01/2022,Meneja wa Wakala wa usambazaji wa Maji na Usafi wa Mazingira vijijini (RUWASA) Wilayani Newala Mhandisi Nsajigwa Sadiki  ametenbelea na kujionea mradi wa maji Mnima ambao unatekelezwa na Mkandarasi SEBA CONSTRUCTION & DRILLING LTD ya Dar Salaam kwa gharama ya Tsh milioni 270.7

  Akizungumza na wananchi wa Mnima , Mhandisi Nsajigwa amesema tayari Serikali imetoa Kiasi cha Shilingi Milioni 270.7 ambazo zitatumika katika ujenzi wa mtandao wa mabomba mita 11320,ukarabati wa matenki 2 ya Lita 250,000 na 45,000 na ujenzi wa vilula 7 vya kuchotea maji.

 Amesema vijiji vitakavyonufaika ni pamoja na Mnima, Mnyambe,Bahati,Majembe juu na Hengapano,ambapo watu wapato 8437 wapata huduma ya maji safi na Salama.

Aidha Mhandisi Nsajigwa ameishukuru Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan na Waziri wa maji  Jumaa Aweso kwa jitihada za kuleta fedha za utekelezaji wa mradi huo.

 Naye Fundi mkuu wa Seba Construction & Drilling ltd ,Franco Chungwa amesema wamejipanga kuhakikisha mradi huo unakamilika mapema kabla ya miezi 6 ya mkataba uliosainiwa.

Aidha kwa upande wa wananchi wa Kijiji cha Mnima  wakiongozwa na Diwani wa kata ya Mnyambe, Fabian Mahanyuka wamefurahishwa na juhudi zinazofanywa na serikali za kutatua kero ya maji,lakini pia amewataka wananchi kushirikiana katika shughuli za kujitolea kuchimba mitaro na kutunza miundombinu ya maji .

 Mradi wa maji Mnima uliibuliwa na wananchi wa Kijiji cha Mnima kwenye mkutano mkuu wa Kijiji uliofanyika mwaka 2019,na pia ni miongoni mwa miradi mitatu ya maji ambayo inatekelezwa wilaya ya Newala kupitia programu ya maji na usafi wa mazingira vijijini.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa