• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

KITENGO CHA MAZINGIRA NA TAKA NGUMU NEWALA DC CHAHAMASISHA WAFANYABIASHARA KUFANYA USAFI ENEO LA SOKO

Posted on: December 13th, 2024

Katika kuhakikisha usafi wa mazingira unazingatiwa na kuleta manadiliko chanya katika Jamii ,Kitengo cha Mazingira na taka ngumu Halmashauri ya Wilaya ya Newala leo Desemba 13,2024  kimeongoza zoezi la usafi eneo la soko kuu Kitangari kwa kushirikiana na Uongozi wa serikali ya Kijiji na wafanyabiashara.


Zoezi hilo la usafi limesimamiwa na Afisa Afya na  Mazingira  Bi. Merry Chilemba pamoja na Mwenyekiti wa serikali ya Kijiji cha Kitangari Ndugu Mohammed Ajari ambapo wamehamasisha wafanyabiashara kufanya usafi eneo la soko ili kuzuia milipuko ya magonjwa inayotokana na uchafuzi wa mazingira.


Bi Chilemba amesema mikakati yao ni kuendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa usafi, na kuweka mfumo wa kisheria wa kushirikiana na wadau mbalimbali.


Aidha  amesisitiza  kila mjasiriamali na mfanyabiashara katika Soko Kuu la kitangari anatunza mazingira yake, na pia  anatoa taka zake kwa njia bora na salama na kuzihifadhi katika maeneo yaliyoanishwa na serikali


Naye Mwenyekiti wa Serikali ya Kijiji Cha kitangari Ndugu Mohammed Ajari ametoa wito kwa wafanyabiasha kuhakikisha jukumu la usafi na utunzaji wa mazingira linakuwa la kila mmoja katika eneo la soko kuu.


Aidha amewaomba Wafanyabiashara hao kushirikiana na serikali ya kijiji katika kuhakikisha mazingira yanatunzwa vizuri.


"Serikali ya Kijiji itahakikisha kuwa vifaa vinavyohitajika  kwa ajili ya usafi, kama vile visanduku vya taka, vitakuwepo kwa wingi na vitatumiwa kwa manufaa ya Jamii ili Soko Kuu la kitangari liwe la mfano bora wa usafi wa mazingira" amesema Ajari.

@ortamisemi

@dc_newala

@newalafmtz

@wizara_afyatz

@mtwarars_habari

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa