• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

KIKAO CHA TATHMINI YA UFAULU ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI

Posted on: February 12th, 2025

KIKAO CHA TATHMINI YA UFAULU WA WANAFUNZI

12-02-2024 Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala ndugu Duncan G.Thebas, kwa kushirikiana na Maafisa Elimu Msingi na sekondari ameongoza kikao maalum cha tathmini ya ufaulu wa wanafunzi kwa kushirikisha wadau mbalimbali.


Kikao hicho, kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri, kimewaleta pamoja walimu wakuu, wakuu wa shule, wataaluma na waratibu wa elimu ngazi ya kata kwa lengo la kutathmini hali ya ufaulu wa wanafunzi na kujadili mikakati ya kuboresha matokeo ya kitaaluma kwa mwaka wa 2025.


Akizungumza katika kikao hicho, Mkurugenzi mtendaji  amesema kuwa tathmini ya ufaulu ni muhimu katika kubaini changamoto zinazokwamisha maendeleo ya elimu na kuja na suluhisho muafaka. "Tunataka kuona watoto wetu wanapata elimu bora na kufaulu kwa viwango vya juu. Ushirikiano wa wadau wote ni muhimu katika kufanikisha hili,"


Kwa upande wake, Maafisa Elimu wa Halmashauri, , waliwasilisha takwimu za matokeo ya mitihani ya hivi karibuni, akionyesha maeneo yenye mafanikio na yale yanayohitaji maboresho. Wlibainisha kuwa baadhi ya changamoto zinazosababisha ufaulu duni ni pamoja na uhaba wa walimu, mazingira duni ya kujifunzia, na ushiriki mdogo wa wazazi katika masuala ya elimu.


Wadau wa elimu waliopata nafasi ya kuchangia walieleza matumaini yao kwamba hatua zilizopendekezwa zitasaidia kuinua viwango vya ufaulu na kuboresha elimu kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa