• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Kero za wananchi Newala kuwa historia

Posted on: October 31st, 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala, Ndugu. Mussa Chimae amedhamiria kupunguza na ikiwezekana kuziondoa kabisa kero zilizopo kwa wananchi wa eneo  la Halmashauri ya Wilaya ya Newala.

Akisisitiza dhamira hiyo katika mkutano wa baraza la madiwani wa robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2018/2019 uliofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala siku ya Jumanne 30/10/2018, Ndugu. Chimae ameeleza kuwa alitoa agizo maalumu kwa watendaji wote wa vijiji kuitisha mikutano maalumu kwa ajili ya kusikiliza kero za wananchi. Kero hizo zitapokelewa na kuwasilishwa katika ngazi ya kata ili kutafutiwa ufumbuzi na baadaye kuwasilishwa ngazi ya Halmashauri kwa ajili ya utekelezaji zaidi.

Pia Ndugu. Chimae amewataka maafisa tarafa wote wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala kuwasimamia watendaji wa vijiji na kata katika tarafa zao ili kutekeleza agizo hilo kwa ufanisi.

Aidha, ili kushughulikia kikamilifu kero za wananchi, Ndugu. Chimae ameanzisha utaratibu wa kutembelea kwenye vijiji kila mwezi akiongozana na wakuu wa idara na vitengo ili kuweza  kutolea maelezo kero zote zilizoibuliwa na wananchi. 

Utaratibu huu utapelekea kupunguza kero kwa wananchi na kuongeza uwajibikaji kwa watendaji wa serikali kwa kuwa kila mmoja atajitahidi kutekeleza majukumu yake kikamilifu ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma inayotakiwa kikamilifu hivyo kutekeleza dhana ya utawala bora.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Utekezaji wa Ujenzi mpya ya Sekondari Mtunguru

    May 29, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA

    May 29, 2025
  • UTEKEZAJI WA ILANI YA CCM

    May 27, 2025
  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa