• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

KAIMU AFISA UTUMISHI ANDREW NYUMAYO AFUNGUA MAFUNZO YA AFUA ZA LISHE

Posted on: September 5th, 2024

NEWALA, MTWARA

Kaimu Afisa Utumishi na Rasilimali watu Halmashauri ya Wilaya ya Newala Ndugu Andrew Nyumayo amesema huduma Afya zinapaswa kujikita zaidi katika kuhakikisha kila mtu anapata Lishe bora wakati wote wa maisha yake .


  Nyumayo amesema hayo wakati akifungua mafunzo ya Afua za Lishe kwa Watendaji kata na Maafisa Tarafa yaliyofanyika Ukumbi wa Halmashauri leo Septemba 4,2024.


" Uwekezaji kwenye lishe kunaweza kusaidia Halmashauri kufikia lengo la huduma ya Afya kwa wote na malengo ya maendeleo endelevu"

 "Nendeni mkahamasishe Jamii na kuwapa elimu ya kuzingatia ulaji sahihi wa lishe Bora" amesema Nyumayo


  Ulaji wa Lishe bora husaidia mwili kukua vyema, kuujenga mwili lakini pia huimarisha kinga dhidi ya magonjwa.


  Kwa upande wake Afisa Lishe Halmashauri ya wilaya ya Newala Bi. Christina Lukinisha amesema wameamua kuwajengea uwezo Watendaji kata na maafisa Tarafa kuhusu maana ya Lishe Bora na umuhimu wake ili wapate uelewa wa kutosha wa kwenda kutoa elimu kwa Jamii .


" Nawaomba elimu mliyopata mukaifanyie kwa vitendo ili udumavu uweze kuondoka kabisa na kupunguza akina mama wajawazito kujifungua watoto wenye uzito pungufu" amesema Bi. Christina

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • NEWALA DC YAPOKEA MITUNGI YA GESI

    June 24, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • MKUTANO MAALUM WA KUVUNJA BARAZA LA MADIWANI

    June 21, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Kitangari,Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa