• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Newala lapitisha makadirio ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2021/2022

Posted on: January 28th, 2021

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Newala leo tarehe 28/01/2021 limepitisha makadirio ya bajeti ya Tsh. 21,196,607,600 kwa ajili ya kugharamia matumizi mbalimbali ya Halmashauri na utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa mwaka wa fedha 2021/2022 kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa chuo cha walimu Kitangali.

Akiwasilisha rasimu ya bajeti hiyo, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Bi. Magreth Likonda ameeleza kuwa makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti hiyo yanahusisha Tsh.11,800,007,100 kwa ajili ya mishahara toka Serikali kuu; Tsh. 12,021,000 kwa ajili ya mishahara itokanayo na mapato ya ndani ya Halmashauri; Tsh. 1,770,593,000 matumizi ya kawaida na Tsh.7,613,986,600 kwa ajili ya miradi ya maendeleo.

Aidha, wajumbe wa baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Newala baada ya kupokea uwasilishaji wa makadirio hayo ya bajeti walishauri kuwa ukusanyaji wa mapato ya ndani uongezeke ili kuwezesha kupeleka fedha nyingi zaidi katika miradi ya maendeleo hasa miradi ambayo imeanzishwa kwa nguvu ya wananchi na inahitaji msaada zaidi wa Halmashauri kwa ajili ya kukamilika.

Baraza hilo la madiwani lililofanyika maalum kwa ajili ya kujadili na kupitisha makadirio hayo ya bajeti limehudhuriwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Newala Bw. Daniel Zenda aliyemwakilisha Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Newala Aziza Mangosongo, wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ya Newala, waheshimiwa madiwani, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala Bi. Magreth Likonda, wakuu wa idara na vitengo wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala, watumishi na waalikwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa