• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala wapandishwa vyeo, kuthibitishwa kazini na kubadilishiwa vyeo vya muundo

Posted on: April 30th, 2019

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Newala lililofanyika siku ya Jumatatu tarehe 29 Aprili 2019 limewapandisha vyeo, kuwathibitisha kazini na kuwabadilisha vyeo vya muundo watumishi 112.

Akizungumza kwenye baraza hilo la Madiwani, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Newala Mhe. Rashidi Ndembo ameeleza kuwa kati ya watumishi hao 112, watumishi 96 wamepandishwa vyeo, watumishi 9 wamebadilishiwa vyeo vya muundo na watumishi 7 wamethibitishwa kazini.

Aidha jumla ya watumishi walimu 808 wamepandishwa vyeo na tume ya utumishi ya walimu (TSC) na kufanya idadi ya watumishi waliopandishwa vyeo kufikia 904 wakihusisha watumishi waliopo Halmashauri ya Mji na Wilaya ya Newala ambao waliwekwa kwenye bajeti kipindi Halmashauri hizo mbili zikiwa Halmashauri moja.

Maamuzi hayo yamefanyika kwa mamlaka iliyopewa Halmashauri ya kuajiri, kuteua, kupandisha vyeo na kuthibitisha kazini watumishi wake watakaoonekana kumudu kazi katika nyadhifa zao kwa mujibu wa sheria ya Utumishi wa umma Na. 8 ya mwaka 2002 kifungu 6(1) (b) kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 19 ya mwaka 2004, ikisomwa pamoja na kanuni Na. 6 ya kanuni za utumishi wa umma za mwaka 2003.

Watumishi waliopandishwa vyeo ni wale waliotengewa bajeti kwa mwaka wa fedha 2017/2018 na waliobadilishwa kada ni walioidhinishwa katika ikama na bajeti ya mwaka 2018/2019.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI -HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA December 29, 2023
  • KUITWA KWENYE USAILII WA MAHOJIANO January 06, 2024
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA MWAKA 2021 MNYAMBE SEKONDARI July 10, 2021
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI June 22, 2022
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • RAIS SAMIA AMEBORESHA SEKTA YA ELIMU NEWALA DC

    March 25, 2025
  • MADAKTARI BINGWA WA KINYWA NA MENO WAHUDUMIA WAGONJWA 319 NEWALA DC

    March 24, 2025
  • MIAKA 4 YA RAIS DKT. SAMIA SALUHU HASSAN AMEBORESHA HUDUMA ZA AFYA

    March 19, 2025
  • NEWALA DC YANUFAIKA NA JENGO LA UTAWALA,WATUMISHI

    March 18, 2025
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa