• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Newala District Council
Newala District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Newala

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
      • Chimbuko
      • Ukubwa wa eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Shughuli za kiuchumi
      • Orodha ya viongozi
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Ujenzi
      • Planning, Statistics and Coordination
      • Rasilimali watu na Utawala
      • Fedha na Biashara
      • Afya
      • KIlimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
    • Vitengo
      • ICT & Public Relations
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi na Usambazaji
      • Sheria
      • Ufugaji Nyuki
      • Uchaguzi
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Elimu
    • Huduma za Maji
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
      • TASAF
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio
  • Madiwani
    • Orodha ya Wahe. Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba

Mawakala wa vyama vya siasa kwenye uchaguzi mkuu 2020 waapishwa Newala

Posted on: October 21st, 2020

Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Newala Vijijini Bw. Duncan Thebas leo Jumatano tarehe 21/10/2020 amewaapisha mawakala wa vyama vya siasa vitakavyoshiriki katika Uchaguzi Mkuu wa Rais na Madiwani unaotarajiwa kufanyika tarehe 28/10/2020.

Mawakala wa vyama vya siasa wakila kiapo cha kutunza siri mbele ya Msimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa Rais na madiwani wa mwaka 2020 Jimbo la Newala Vijijini Bw. Duncan Thebas.

Akiendesha zoezi hilo, Bw. Thebas amewataka mawakala hao kutunza siri wakati wa zoezi zima la uchaguzi na kufuata taratibu zote walizoelekezwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa kuwa wana jukumu kubwa la kuhakikisha zoezi zima la uchaguzi linafanyika kwa haki na amani.

"Kwa mujibu wa sheria kila chama kina haki ya kuweka mawakala katika kituo cha kupigia kura.

Wanaoapa leo ndio watakaokuwa kwenye vituo vya kupigia kura. Kazi yao ni kuangalia, kutambua kama taratibu zote za zoezi zima la upigaji kura zinafuatwa mpaka mwisho." Alisema Bw. Duncan.

Jimbo la Newala Vijijini ni moja ya majimbo ya uchaguzi Tanzania lenye jumla ya wapiga kura 74,041 wanaotarajiwa kushiriki zoezi la kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu.

Jimbo hili lina jumla ya vituo vya kupigia kura 216, wagombea wa ubunge wanne (4) na wagombea udiwani hamsini na nne (54) wanaotoka katika vyama vya ACT wazalendo, CCM, CHADEMA na CUF watakaoshiriki katika kuwania kupata uongozi kwenye Uchaguzi Mkuu wa Rais na madiwani wa mwaka huu 2020.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE KWA SHULE ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA NEWALA January 15, 2021
  • MAJINA YA WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA MWAKA 2021 December 23, 2020
  • KUITWA KWENYE USAILI December 02, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI November 13, 2020
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • Mfuko wa elimu waendelelea kuimarisha sekta ya elimu Newala

    February 15, 2021
  • Uzinduzi wa Upandaji wa miti Mkoa wa Mtwara wafanyika Newala.

    February 13, 2021
  • Kamati ya Siasa Wilaya ya Newala yaridhishwa na utekelezaji wa ilani ya CCM Newala

    February 04, 2021
  • Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Newala lapitisha makadirio ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2021/2022

    January 28, 2021
  • Ona Zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • Historia ya Halmashauri
  • Idara ya Rasilimali Watu

Kurasa mashuhuri

  • Tovuti Rasmi ya Rais
  • Poralg
  • Secretariet ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo

Wasiliana nasi

    Newala

    Anuani ya Posta: P.O. Box 16

    Simu: +255232410251

    Mobile:

    Barua pepe: ded@newaladc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za Usiri
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma zetu

Hakimiliki@2016 Halmashauri ya Wilaya ya Newala. Haki zote zimehifadhiwa